• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Acheni wizi sehemu za kazi : Rais Samia

Tuwape raha wawekezaji wetu: Rais Samia

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 13, 2022
in AJIRA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Rais Samia Suluhu amewataka vijana walioajiriwa katika viwanda mbalimbali kuwa na nidhamu sehemu ya kazi na kuacha uzembe.

Rais Samia ametoa wito huo wakatia akizindua kiwanda cha nguo cha Basra Textiles Mills LTD, kilichopo Chumbani –Zanzibar.

“Tubadilikeni tujue kwamba ajira ndio nguzo yako ya maisha, ajira sio by the way, haswa ukiwa kwenye sekta binafsi, ukizubaa nafasi yako imechukuliwa”  amesema Rais Samia

ADVERTISEMENT

“Kama mlivyosikia nilishawahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Wakati ule tulikuwa na viwanda vidogo vidogo vinajikongoja kufanya kazi pamoja na viwanda vingine. Kesi nyingi nilizokuwa nikipokea ni uzembe, kutokuwa na nidhamu ndani ya sehemu za kazi.”

Pia Rais ametaja wizi kuwa miongoni mwa kesi nyingine alizokuwa akikumbana nazo na kuwataka vijana kuacha tabia hiyo.

“Unatoka shift ulichokizalisha unakipunguza unakificha huko, mkipekuliwa kesi serikalini, mnapekuliwa mnavunjiwa heshima, lakini husemi ulichokificha na kikatolewa ndani ya mwili wako.”

Amewataka vijana kufanya kazi kwa uadilifu, heshima sehemu ya kazi, na kufanya kazi kwa weledi.

“Kile unachokijua kitoe chote kuzalisha ndipo mwajiri atakapofurahiwa na wewe na akakutimizia yale yako ambayo unataka kuyafanya” amesema Rais Samia.

Amewataka waajiri kuwatimizia wafanyakazi haki zao kwa mujibu wa sheria ikiwemo mikataba ya kazi.

Amesema takwimu za mwaka 2021 zinaonyesha kuwa Zanzibar inapokea vitenge, kanga na vikoi vyenye thamani ya bilioni 3161.

“Hizi ni pesa nyingi sana kuzipeleka nje kununua hizo bidhaa. Tukiwezesha vizuri kuzalisha hapa ndani, hii fedha itabaki ndani na tutaitumia kwa mahitaji mengine ya wananchi, hivyo tusimamie viwanda vyetu.” ameeleza Rais.

Soma:

Ni aibu kijana kukaa bila kazi : Rais Samia

Mshikamano kuongeza kasi ya ukuaji uchumi

 

 

Tags: ajiraTanzaniauwekezaji Zanzibarvijanazanzibar
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Vivutio vya utalii Tanzania vyavutia Hispania

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In