• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

AfDB yaimwagia Tanzania mabilioni kutekeleza miradi ya maendeleo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango amesema serikali itahakikisha miradi hiyo inatekelezwa kama ilivyokusudiwa ili kuwaletea maendeleo watanzania.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 16, 2018
in BENKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Na Grace Semfuko-MAELEZO.

Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesaini mikataba mitatu na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ya kuipatia msaada na mikopo ya masharti nafuu yenye thamani ya dola za Kimarekani 156.59 ambazo ni sawa na shilingi Bilioni 358.236 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Mikataba hiyo ya mikopo na msaada imesainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Dotto James na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt Alex Mubiru ambapo kwa upande wa mikopo serikali ya Tanzania itailipa kwa kwa muda wa miaka 40 ijayo.

Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa wa 400kV kuanzia Nyakanazi Biharamuro mkoani Kagera hadi Kigoma uliopata mkopo  wa Dola za Kimarekani milioni 123.39, Mradi wa kudhibiti sumu kuvu kwenye mazao ya nafaka ambao umepata Dola milioni 33 zikiwepo Dola milioni 20 za msaada na Dola milioni 13 za mkopo huku bajeti ya serikali ya mwaka 2018/2019 nayo ikiongezewa mkopo wa masharti nafuu wa Dola milioni 56 sawa na Shilingi Bilioni 128.28.

ADVERTISEMENT

Akizungumza wakati wa utiaji saini wa mikataba hiyo mitatu ya mikopo na msaada kati ya Tanzania na Benki ya maendeleo ya Afrika AfDB, Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw.Dotto James amesema serikali itahakikisha miradi hiyo inatekelezwa kama ilivyokusudiwa ili kuwaletea maendeleo watanzania.

“Ndugu zangu hii ni hatua kubwa na nzuri kwetu watanzania, hizi sio fedha ndogo, ni fedha nyingi ambazo ni mkopo wa masharti nafuu pamoja na msaada kwenye eneo la kudhibiti sumu kuvu za nafaka, tutalipa mikopo hii kwa muda wa miaka 40” alisema Dotto James Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Kwa upande wake Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt Alex Mubiru amesema Benki hiyo inalenga kuimarisha maendeleo ya watanzania kwani fedha hizo zinaingia moja kwa moja kwenye miradi ambayo itatumiwa na wananchi.

“Benki yetu ya Maendeleo ya Afrika AfDB inalenga kuimarisha maendeleo ya wananchi, tuna miradi mingi tunayofadhili kwa nchi za Afrika, kwa Tanzania pia tunayo miradi tunayoimarisha, lengo la mikopo na misaada hii ni koboresha maisha ya watanzania” alisema Dkt Mubiru Mwakilishi Mkazi wa AfDB.

Zanzibar ni miongoni mwa eneo litakalonufaika na msaada huo kutoka Benki ya AfDB kwa upande wa kudhibiti sumukuvu kutoka kwenye mazao ya nafaka ambapo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bw.Ahmad Kassim Haji amesema watahakikisha wanalinda na kuhifadhi vizuri mazao yote ya nafaka na kwamba mradi huo utawawezesha kufanya shughuli hiyo kikamilifu.

 

Tags: AfDBDotto Jamesfedhamaendeleomikopo
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Maliasili na Utalii, Uvuvi na Mifugo kutoka Serikali ya Zanzibar Dk. Islam Seif Salum (kushoto)

Uchumi endelevu wa bahari kunufaisha Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In