• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Benki 55 kuchunguzwa na BoT

“Ingawa benki zinapaswa kuwa huru, ni jukumu la BoT kuhakikisha zinatekeleza uhuru huo kwa mujibu wa sera za nchi"

Patricia Richard by Patricia Richard
December 12, 2018
in BENKI
0
BoT yasisitiza elimu kwa wakopaji

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga.

Share on FacebookShare on Twitter

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga amesema benki 55 hapa nchi zimeonekana kutojitanua mikoani na kwamba BoT inaendelea kuzifuatilia ili hatua stahiki zichukuliwe. Prof. Luoga amesema hayo wakati akiwasilisha mada ya hali ya sekta ya fedha hapa nchini mbele ya Rais Magufuli katika mkutano wake na wakuu wa mikoa pamoja na viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kueleza kuwa, kuna takribani benki 55, nyingi zikiwa jijini Dar es salaam na baadhi zikiwa na tawi moja pekee na kusema kuwa Benki Kuu inaona hali hiyo haikubaliki na inafuatilia na kupitia mpango wa biashara wa benki zote kuhakikisha zinapanuka na kukuza uwezo wake wa utoaji huduma.

“Ingawa benki zinapaswa kuwa huru, ni jukumu la BoT kuhakikisha zinatekeleza uhuru huo kwa mujibu wa sera za nchi, ni jukumu la BoT kuhakikisha kwamba sekta ya benki inakua, siyo jukumu la kufunga benki, tunapofanya hivyo ni kuwa tumefikia mahali pagumu”. Amesema Prof. Luoga.

ADVERTISEMENT

Mwanzoni mwaka huu, BoT ilizifutia leseni za uendeshaji benki tano na kuziweka nyingine chini ya uangalizi wake kufuatia kuwa na upungufu mkubwa wa mtaji kinyume na Sheria ya Benki na Taasisi za Fedha ya Mwaka 2006.

Tags: BoTProf.Florens LuogaSekta ya fedha
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dk. Mpango amaliza utata ripoti IMF

Dk. Mpango ashauri taasisi za umma kutumia GePG

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In