• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, September 22, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Benki tano zafungiwa ubadilishaji fedha

Benki zilizokumbwa na marufuku hiyo ni pamoja na Benki ya Barclays Tanzania, Exim Bank, UBA Bank, BancABC na Azania Bank.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 29, 2018
in BENKI
0
Ubadilishaji fedha kutungiwa kanuni
Share on FacebookShare on Twitter

Siku chache baada ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuendesha ukaguzi wa ghafla katika maduka ya kubadili fedha za kigeni jijini Arusha, BoT imezipiga marufuku benki tano za biashara kuendesha biashara ya ubadilishaji fedha za kigeni kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Novemba 23 kwa madai ya kukiuka Sheria. Katika maelezo yake, Mkurugenzi wa masoko ya fedha kutoka Benki kuu, Alexander Mwinamila ametaja benki zilizokumbwa na marufuku hiyo kufuatia kukiuka Sheria za Biashara kuwa ni pamoja na Benki ya Barclays Tanzania, Exim Bank, UBA Bank, BancABC na Azania Bank.

“Hatua hii imetokana na kuvunjwa kwa taratubu na kanuni, waliofungiwa walikuwa aidha wanafanya biashara kinyume na viwango vinavyowekwa au walikuwa hawawasilishi taarifa za miamala waliyokuwa wanafanya”. Ameeleza Mkurugenzi huyo.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa biashara kutoka benki ya Azania Gilbert Mwandimila amesema changamoto za teknolojia zilipelekea kuchelewa kwa ripoti kuhusu biashara ya fedha na kueleza kuwa, marufuku waliyopewa itaathiri kwa kiasi kikubwa uwezo wa benki kutoa huduma kwa wateja. Aidha, benki ya Barclays Tanzania imedhibitisha taarifa za marufuku hiyo na kusema itashirikiana na BoT kutafuta ufumbuzi wa suala hilo.

Wiki mbili zilizopita, BoT ilifungia maduka kadhaa jijini Arusha kwa makosa ya kuendesha shughuli zake bila kufuata utaratibu wa Sheria zinazosimamia biashara hiyo na baadae kutangaza kuwa huduma za ubadilishaji fedha zitapatikana katika hoteli za kitalii, benki pamoja na ofisi zao.

 

 

Tags: ArushaBoTfedha za kigenisheria
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Norway kusaidia Tanzania ukusanyaji wa mapato

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In