• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

NMB yarudisha milioni 60 kwa jamii

NMB imekuwa mstari wa mbele katika kusaidia miradi mbalimbali yenye kuleta maendeleo kwa wananchi hususani ile ambayo imekijita kwenye sekta za elimu na afya.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 9, 2018
in BENKI
0
NMB yachangamkia ubadilishaji fedha
Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya NMB imetoa msaada wa takribani Sh. 60 milioni unaohusisha vifaa vya afya, mabati, madawati na mbao katika wilaya za Korogwe na Kilindi mkoani Tanga. Kaimu Meneja wa benki hiyo kanda ya kaskazini Cosmas Sadat amesema NMB imekuwa mstari wa mbele katika kusaidia miradi mbalimbali yenye kuleta maendeleo kwa wananchi hususani ile ambayo imekijita kwenye sekta za elimu na afya.

“Tunatambua kuwa ni kupitia jamii ndipo wateja wetu wengi wanapotoka, hivyo kurudisha sehemu ya faida kwa jamii ni utamaduni wetu, kwa maana hiyo tumeamua kushirikiana na serikali ya wilaya za Korogwe na Kilindi na kuwapatia madawati zaidi ya 200, vifaa vya tiba na vifaa vya ujenzi kwa shule zaidi ya 10 na hospitali kuonyesha kuwa tunajali”. Ameeleza Sadat.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Kilindi, Sauda Mtondoo amesema msaada huo waliopatiwa na NMB utasaidia kwa kiasi kikubwa kuboresha miundombinu ya shule pamoja na afya za wananchi. Naye Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Kissa Kasongwa ameishukuru benki hiyo kwa msaada waliotoa na kusema umewasaidia katika kupambana na changamoto za uhaba wa madawati na vifaa vya ujenzi.

Baadhi ya shule zitakazofaidika na msaada huo ni pamoja na Shule ya Msingi Mtonga, Shule ya Sekondari Semkiwa, Sekondari ya Wasichana Korogwe pamoja na Shule ya Msingi Kwamngumi. Katika upande wa sekta ya afya, zahanati mbili zimepatiwa vifaa tiba vyenye thamani ya Sh. 30 milioni.

Tags: afyaelimumiundombinuNMBTanga
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kongamano uwezeshaji kufanyika Juni 15

Wanunuzi wa korosho wapewa siku nne

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In