• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, September 22, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Weka fedha benki

Patricia Richard by Patricia Richard
July 3, 2018
in BENKI
0
Fahamu haya kuhusu viwango vya riba
Share on FacebookShare on Twitter

Ni muhimu kuwa na akiba kwani husaidia pindi tatizo linapotokea ghafla. Mtu anayetumia mifumo rasmi ya kutunza fedha kama benki anakuwa katika nafasi nzuri siyo tu kutumia akiba yake pale uhitaji wa haraka ukitokea, lakini pia katika shughuli za kimaendeleo. Siyo watanzania wote hujiwekea mazoea ya kutunza fedha zao katika mabenki kutokana na sababu mbalimbali walizonazo. Makala hii inakusudia kueleza baadhi ya faida za kutunza fedha zako katika taasisi hizi kama ifuatavyo.

Kutunza fedha katika benki ni njia salama zaidi ya kulinda fedha zako. Kuna tofauti kubwa ya kuweka fedha nyumbani ambapo zipo katika hatari ya kuibiwa na hata kupata majanga kama moto. Kuwa na fedha nyingi pia kunahatarisha usalama wa raia kwani kumekuwa na taarifa kadhaa za matukio ya ujambazi sehemu mbalimbali kote nchini. Kupeleka fedha benki kunaondoa wasiwasi wa yote hayo kwani fedha zinakuwa katika ulinzi na usalama zaidi ukilinganisha na namna zinavyokuwa nyumbani.

Kutumia huduma za benki pia inarahisisha upatikanaji wa mikopo pale mtu anapohitaji. Hakuna benki ambayo itakupatia mkopo kama haujawahi hata kutumia huduma zao. Kuwa na akaunti ambayo inaonyesha matumizi ya mteja na kiwango cha fedha hivyo benki inapata urahisi pale mtu huyo anapohitaji mkopo kwani wanakuwa na rekodi za kifedha za mteja hivyo kupata uhakika kuwa mkopo utarejeshwa ndani ya wakati uliokubaliwa.

Faida nyingine za mtu binafsi au hata taasisi kuweka fedha benki ni kuongeza mtaji kwa kupata riba kulingana na muda ambao fedha hizo zinapokuwa benki. Fedha zilizotunzwa huongezeka kwa kiasi fulani kila baada ya muda uliopangwa hivyo mtumiaji anapata zaidi ya alichoweka, fedha ambazo anaweza kuzitumia kujiletea maendeleo zaidi katika biashara zake au shughuli zozote za kujiletea maendeleo.

ADVERTISEMENT

Fedha zinapowekwa katika benki pia hunufaisha nchi yetu kwa ujumla kwani zinatumika katika shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo sekta ya elimu, afya, maji, ujenzi wa barabara na kilimo. Hivyo matumizi ya taasisi za kifedha husaidia nchi pia kuboresha huduma za kijamii ambazo watumiaji wa benki wananufaika nazo baadae.

Benki zinapaswa kuendelea kuboresha huduma kwa wateja wao lakini pia kuelimisha wananchi wengi zaidi kuachana na utunzaji usio salama na kuhamia katika huduma zao bora zaidi na za kisasa. Taasisi hizi zinapaswa kutumia mbinu kama mikutano, semina au matangazo ili kuwafikia watu wengi zaidi na kuhakikisha kuwa jamii ina uelewa mkubwa wa manufaa ya huduma za benki.

Tags: akibabenkifedhamkopo
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Wakulima Pwani kupewa miche ya mikorosho bure

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In