• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Balozi ahimiza ushirikiano wa kiuchumi

Mshikamano baina ya pande zote utaimarisha uhusiano na kukuza biashara.

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
December 12, 2018
in BIASHARA
0
Balozi wa Kenya nchini Tanzania Mh.Dan Kazungu akiongea na pesatu.com.

Balozi wa Kenya nchini Tanzania Mh.Dan Kazungu akiongea na pesatu.com.

Share on FacebookShare on Twitter

Balozi wa Kenya nchini Tanzania Mh. Dan Kazungu amehimiza ushirikiano baina ya nchi hizo mbili kwa maslahi ya kiuchumi kwa pande zote mbili ili kuleta maendeleo katika nchi hizo.

Balozi huyo akiongea na pesatu.com kuelekea maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru wa Kenya alisisitiza umoja na mshikamano baina ya pande zote ambao utaimarisha uhusiano na kukuza biashara baina ya nchi hizo jirani ambazo zinachangia mipaka ambayo ni muhimu kibiashara.

Waziri huyo wa madini zamani wa Kenya pia aliahidi kuendeleza umoja na ushirikiano hasa mipakani ili kuimarisha mazingira ya biashara baina ya nchi mbili hasa baada ya kufunguliwa kwa kituo cha pamoja cha biashara katika mpaka wa Namanga kilichofunguliwa na maraisi Dk. John Magufuli na Uhuru Kenyata.

ADVERTISEMENT

Pia alikumbusha jinsi nchi hizi jinsi zinavyotegemeana tangu enzi za kale wakati wa harakati za kupigania uhuru akikumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyoshirikiana na Jomo Kenyata kuhakikisha Kenya inapata uhuru na jinsi ambavyo taifa la Kenya linathamini utu na wema wa Nyerere kwa taifa hilo “Nyerere alijitahidi kuhakikisha Kenya na Tanzania zinapata uhuru siku moja japo haikufanikiwa ila wema wake tunaukumbuka”.

Balozi alimshukuru Raisi John Magufuli kwa kumpatia hati ya kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa ofisi mkoani Dodoma kitu ambacho kitarahisisha utendaji kazi wa balozi huyo nchini baada ya serikali kuhamia Dodoma rasmi. Pia alimpongeza kwa kudumisha ushirikiano na Kenya licha ya changamoto mbalimbali zilizopo.

Licha ya changamoto mbalimbali zinazoikabili Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi alisisitiza umuhimu wa ushirikiano baina ya wanachama kwa ajili ya maslahi ya pande zote hasa kiuchumi na kibiashara baina ya nchi na nchi. Pia aliwakumbusha wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za masoko nchini Kenya ili kukuza uwiano wa biashara uliofikia Dola za kimarekani milioni 213 kwa mwaka 2016.

Tags: BalozibiasharaKenyaTanzaniauchumiUshirikiano
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
BoT yasisitiza elimu kwa wakopaji

Benki 55 kuchunguzwa na BoT

Discussion about this post

Habari Mpya

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewasihi mashabiki wa Simba wamtie nguvu Mwekezaji Mohammed Dewji (Mo Dewji) kwa...

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In