• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, August 17, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

DC atoa vitambulisho mnadani

"Rais Magufuli amechapisha vitambulisho hivi kwa ajili ya kuwasaidia wafanyabiashara wadogo kutobugudhiwa"

Patricia Richard by Patricia Richard
April 13, 2019
in BIASHARA NDOGO NDOGO
0
DC atoa vitambulisho mnadani

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Share on FacebookShare on Twitter

Baada ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kutembelea ofisi zote za Halmashauri wilayani humo na kutoa vitambulisho kwa wakuu wa Idara, DC huyo amewafuata mnadani wafanyabiashara wadogo zaidi ya 500 ambao ni wafugaji kutoka jamii ya kimasai na kugawa vitambulisho hivyo mwenyewe.

“Sasa sikilizeni nyie wafugaji, Mheshimiwa Rais Magufuli amechapisha vitambulisho hivi kwa ajili ya kuwasaidia wafanyabiashara wadogo kutobugudhiwa. Leo nimekuja hapa nataka kila mtu awe nacho na kinatolewa kwa bei ya Sh. 20,000 tu”. Amesema Ole Sabaya.

ADVERTISEMENT

Mwaka jana wakati wa mkutano wake na watendaji kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na wakuu wote wa mikoa hapa nchini, Rais Magufuli alitangaza uamuzi wake wa kugawa vitambulisho maalum kwa ajili ya kuwatambua wafanyabiashara wadogo ambao mapato yako kwa mwaka ni chini ya Sh. 4 milioni na kuwawezesha kufanya shughuli zao bila usumbufu wa aina yoyote.

Katika ziara zake hivi karibuni, Rais Magufuli ameendelea kuhamasisha ugawaji wa vitambulisho hivyo kwa wafanyabiashara na kuwaonya watendaji wa serikali ambao wamekuwa wakitoza fedha nyingi zaidi kutoa vitambulisho hivyo.

Tags: fedhaLengai Ole SabayaMagufuliTRAVitambulisho
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Namanga yang'aa kibiashara

Namanga yang'aa kibiashara

Discussion about this post

Habari Mpya

Filamu ya the hidden Tanzania inakuja: Rais Samia

August 15, 2022
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu. Picha|Mtandao.

Wawekezaji wadau wakubwa ustawi wa uchumi: NHC

August 13, 2022

Bilioni 3 kujenga kiwanda cha parachichi Iringa

August 12, 2022
Picha| Mtandao

Serikali yataka ubunifu wa Watanzania ulindwe

August 12, 2022

Pato la utalii kupaa

August 5, 2022

Wakulima tumieni mitandao kujikwamua kiuchumi: TCRA

August 2, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Filamu ya the hidden Tanzania inakuja: Rais Samia

by Pesatu Reporter
August 15, 2022
0

Rais wa Tanzania Samia Suhulu Hassan amesema awamu ya pili ya filamu ya kuonesha utalii wa Tanzania inakuja. Rais Samia...

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu. Picha|Mtandao.

Wawekezaji wadau wakubwa ustawi wa uchumi: NHC

by Pesatu Reporter
August 13, 2022
0

Wawekezaji wametajwa kuwa moja ya wadau muhimu kwa ustawi bora wa uchumi wa Tanzania na kufungua fursa za ajira kwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In