• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Bodaboda zaikosesha serikali takribani Sh bil 7 kwa mwaka

RC Dar apokea mpango kazi kusajili idadi ya waendesha bodaboda na vituo

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
June 10, 2022
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amepokea Mpango kazi wa shirikisho la Bodaboda wa mkoa huo unaolenga kusajili idadi ya waendesha bodaboda, vituo pamoja na kuwaingiza kwenye mfumo rasmi.

Hatua hiyo imekuja Baada ya Shirikisho la bodaboda kubaini kuwa serikali imekuwa ikikosa mapato ya takribani Sh. bilioni 7 kila mwaka kwa kukosekana kwa mpangilio mzuri wa uendeshaji wa shughuli hiyo.

Shirikisho limebainisha kuwa mapato ya vituo yamekuwa yakiingia mifukoni mwa wajanja na sio serikalini.

ADVERTISEMENT

Kutokana uholela huo shirikisho limeoma ni wakati muafaka kwa serikali kuanza kupata mapato yatokanayo na kazi ya Bodaboda kwa kuwa ni ajira rasmi.

Akipokea Mpango kazi huo, RC Makalla amesema mbali na kuwa mpango huo utaweka mazingira bora ya biashara pia utasaidia serikali kukusanya mapato na kuimarisha hali ya ulinzi na usalama.

Aidha, RC Makalla amelielekeza shirikisho kumpatia ratiba ya siku watakazokwenda kuwasilisha Mpango kazi ngazi ya Wilaya ambapo amewaelekeza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kuratibu jambo hilo kwa kuhakikisha linatekelezwa mpaka ngazi ya Mtaa.

Hata hivyo RC Makalla amepongeza hatua ya Shirikisho kupata mdau atakaetoa magari kwaajili ya kutoa huduma kwa waendesha bodaboda pindi watakapopatwa na majanga ya ajali na misiba.

Mwenyekiti wa shirikisho la Bodaboda Mkoa wa Dar es salaam Said Chenja ameishukuru serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara ya bodaboda.

Tags: biasharaBodabodaDar es salaam
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Bilioni 34.5 kusaidia huduma za afya ya uzazi

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In