• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kuza biashara kupitia mitandao ya kijamii

Patricia Richard by Patricia Richard
July 6, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Biashara na teknolojia ni mambo ambayo yanaenda sambamba katika maendeleo. Kabla ya uelewa wa matumizi ya intaneti kwa manufaa ya biashara, wafanyabiashara walikuwa wakitumia muda mwingi kutafuta soko na kujitangaza ili waweze kupata wateja lakini tangu uelewa huu uanze kutumika, imekuwa rahisi kwa wafanyabiashara kuuza bidhaa zao na kujitafutia wateja kwa muda mfupi.

Mitandao ya kijamii ikitumika vizuri kwa manufaa ya kujipatia kipato,mtu huona mahali hapo ni kama soko au ofisi ambapo unaweka bidhaa zako hadharani na kuvutia wateja kutoka kila kona ya nchi. Ni njia rahisi ya kujiingizia kipato, kujielimisha zaidi kibiashara, kujifunza kutoka kwa wafanyabiashara wengine na kukuza biashara yote. Yote haya katika kiganja cha mkono wako na kwa kutumia muda mfupi na gharama nafuu.

Wafanyabiashara wakitumia mitandao hii vizuri wanajihakikishia soko la uhakika kwani wanaweza kuongea na wateja wao mara kwa mara na hivyo kushauriana juu ya huduma na ubora wa bidhaa. Pia mfanyabiashara anaokoa gharama za kufanya matangazo kwani badala ya kulipa magazeti, redio au mabango, anaweza kufungua akaunti itayoeleza biashara kwa undani hivyo anakuwa anajitangaza mwenyewe bila gharama yoyote.

Kwa kutumia mitandao ya kijamii pia, mfanyabiashara anaweza kuwa chanzo cha ajira kwa mtu mwingine. Ili kuhakikisha wateja wako wanapata huduma bora zaidi na katika muda husika, biashara nyingi za mitandaoni huitaji madereva kwa ajili ya kufikisha bidhaa kwa wateja, mawakala ikitokea biashara imepanua wigo lake hadi kufikia mikoa mingine na ajira nyingine mbalimbali. Hivyo kwa kutumia mitandao kibiashara, ajira nyingi zaidi zinazaliwa.

Tanzania inakadiriwa kuwa na watumiaji milioni 20 wa intaneti na wengi wakiwa vijana hasa wanaoishi maeneo ya mijini. Kwa maana hiyo basi, vijana wengi hapa nchini wana fursa ya kutumia mitandao ya kijamii kufanya shughuli za maendeleo ambazo zitawaletea faida katika maisha yao ya kila siku pamoja na kukuza uchumi wa taifa.

ADVERTISEMENT

Kwa kuona hilo, serikali inatakiwa kufanya jitihada za kujenga miundombinu na kuweka mazingira stahiki ili watanzania wengi zaidi wapate fursa ya kutumia mitandao hii kujifunza na kushiriki katika mijadala itakayowaongeza ujuzi na maarifa, hivyo kuweza kuinua kiwango chao cha maisha. Serikali pia inatakiwa kuhakikisha mitandao ni mahali salama kwa biashara na kuepuka  vitendo vya wizi na utapeli.

 

 

Tags: ajirabiasharaIntanetimaendeleoMitandao ya kijamiisokoTeknolojia
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Faida za kupima udongo shambani

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In