• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mikoa 11 yang’aa mabaraza ya biashara

Lengu kuu la kuanzisha mabaraza hayo ni kuweka mfumo rasmi wa kuwakutanisha viongozi wakuu wa serikali pamoja na sekta binafsi.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 28, 2018
in BIASHARA
0
Mhagama ashauri vijana kuanzisha vijiwe vya kiuchumi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama ameitaja mikoa 11 ambayo ilianzisha mabaraza ya biashara ambayo hadi sasa yako hai, na kueleza kuwa mikoa mingine ilitekeleza agizo tu lakini utendaji wa mabaraza hayo umekuwa sio endelevu. Mikoa iliyotajwa na Waziri huyo ni pamoja na Dodoma, Kigoma, Tanga, Geita, Morogoro, Shinyanga, Dar es salaam, Pwani, Iringa, Songwe na Mbeya.

Katika maelezo yake wakati wa kufuatilia utekelezaji wa shughuli za Baraza la Taifa la Biashara mkoani Kigoma, Waziri Mhagama amesema lengu kuu la kuanzisha mabaraza hayo ni kuweka mfumo rasmi wa kuwakutanisha viongozi wakuu wa serikali pamoja na sekta binafsi katika kila ngazi ya utawala na kujadiliana jinsi ya kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini kwa ajili ya kuchochea ukuaji wa sekta binafsi ambayo ni muhimili muhimu katika kukuza uchumi wa nchi.

ADVERTISEMENT

“Hatuwezi kuwa tunamshuhudia Mhe. Rais wa awamu ya tano Dk. John Pombe Magufuli anaitisha vikao vya Baraza la Taifa la Biashara  katika ngazi ya taifa lakini katika ngazi ya mkoa na wilaya hamtekelezi maagizo hayo, lazima mabaraza yakutane ili kutatua kero za wafanyabiashara na wawekezaji katika ngazi ya mkoa na wilaya, lakini pia itasaidia kuibua fursa za uwekezaji na kuzinadi fursa hizo, na sisi tumeamua kukagua mkoa mmoja baada ya mwingine ili kupunguza kero za wafanyabiashara na wawekezaji”. Amesema Mhagama.

Kwa upande wake, Mratibu wa mradi huo, Andrew Mhina amedai mradi huo unalenga kuhakikisha unaboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini. Ameongeza kuwa kwa kushirikiana Baraza la Taifa la Biashara tayari wameandaa mwongozo wa majadiliano kati ya serikali na sekta binafsi ngazi ya mkoa na wilaya ili kuyapatia uwezo mabaraza hayo kuwa endelevu.

Tags: Jenista MhagamaMagufuliSekta binafsiserikaliuchumiuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania, Bi. Devotha Majura akitoa elimu kwa wakazi wa Mbagala Charambe kuhusu pointi za Tuzo katika kampeni ya Tuzo Points 'Baki Mule Mule Utunzwe na Tuzo Points' iliyofanyika eneo la Mbagala Charambe na Chamazi jijini Dar es Salaam.  Tuzo Points ni programu ambayo inawazawadia wateja wa Vodacom pointi pale wanaponunua salio au kufanya miamala kupitia M-Pesa. Pointi hizo zinaweza kubadilishwa kuwa fedha, salio au bando, katika msimu huu wa sikukuu Vodacom Tanzania inawazawadia wateja wao Point za Tuzo zenye thamani ya shilling Bilioni moja.

Kampeni ya Tuzo Points yanoga

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In