• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TANESCO yafanya mabadiliko kubana matumizi

Patricia Richard by Patricia Richard
June 12, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji huku likikabiliwa na makusanyo hafifu, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeamua kujifunga mkanda kukabiliana na hali hiyo ambayo imesababisha shirika hilo kuyumba kiuchumi. Taasisi hiyo ya  serikali imeamua kufanya mabadiliko makubwa ya kiuendeshaji kuanzia makao makuu mpaka ofisi zake za kanda na mikoa ili kukabiliana na hali ngumu ya kifedha ambayo pia imeathiri sekta binafsi nchini.

 

Katika mabadiliko yanayotarajiwa kufanywa hivi karibuni, shirika hilo linatazama kupunguza idadi ya wafanyakazi hasa wale wa dharura na kazi maalumu, kusitisha malipo ya muda wa ziada na safari za mara kwa mara mpaka kibali cha Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo hasa kwa safari zinazozidi siku kumi (10).

 

TANESCO pia imelazimika kusitisha mafunzo ya ziada na kujiendeleza kielimu kwa wafanyakazi huku pia matumizi ya magari kwa maofisa na wafanyakazi yakitakiwa kufanyiwa marekebisho ambapo gari moja litatumiwa na maofisa wasiopungua watatu kwa uelekeo mmoja.

 

Mabadiliko hayo pia yameikumba Idara ya Mahusiano ambapo misaada kwa jamii (CSR) imesitishwa huku matangazo ya redio na televisheni nayo yakisitishwa hadi hapo hali ya kifedha itakapotengemaa.

ADVERTISEMENT

 

Shirika hilo kwa sasa limeamua kujikita katika kuongeza makusanyo kwa kuzuia wizi wa umeme na ubadhirifu wa fedha kwa wafanyakazi washirika hilo huku likijikita zaidi kuhakikisha mabadiliko hayo yanaenda sambamba na kupunguza kukatika kwa umeme na kuongeza usambazaji wa umeme vijijini.

 

TANESCO licha ya kuwa taasisi ya kiserikali inakabiliwa na kushuka kwa makusanyo hali iliyopelekea kuongezeka kwa deni ambapo kwa mwaka mmoja takribani Sh.140 bilioni zimeongezeka huku makusanyo yakishuka chini kwa takribani Sh.227 bilioni.

Tags: fedhaTANESCOumeme
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

NMB yamwaga mabilioni kwa serikali

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In