• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TANESCO yafanya mabadiliko kubana matumizi

Patricia Richard by Patricia Richard
June 12, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji huku likikabiliwa na makusanyo hafifu, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeamua kujifunga mkanda kukabiliana na hali hiyo ambayo imesababisha shirika hilo kuyumba kiuchumi. Taasisi hiyo ya  serikali imeamua kufanya mabadiliko makubwa ya kiuendeshaji kuanzia makao makuu mpaka ofisi zake za kanda na mikoa ili kukabiliana na hali ngumu ya kifedha ambayo pia imeathiri sekta binafsi nchini.

 

Katika mabadiliko yanayotarajiwa kufanywa hivi karibuni, shirika hilo linatazama kupunguza idadi ya wafanyakazi hasa wale wa dharura na kazi maalumu, kusitisha malipo ya muda wa ziada na safari za mara kwa mara mpaka kibali cha Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo hasa kwa safari zinazozidi siku kumi (10).

 

TANESCO pia imelazimika kusitisha mafunzo ya ziada na kujiendeleza kielimu kwa wafanyakazi huku pia matumizi ya magari kwa maofisa na wafanyakazi yakitakiwa kufanyiwa marekebisho ambapo gari moja litatumiwa na maofisa wasiopungua watatu kwa uelekeo mmoja.

 

Mabadiliko hayo pia yameikumba Idara ya Mahusiano ambapo misaada kwa jamii (CSR) imesitishwa huku matangazo ya redio na televisheni nayo yakisitishwa hadi hapo hali ya kifedha itakapotengemaa.

 

Shirika hilo kwa sasa limeamua kujikita katika kuongeza makusanyo kwa kuzuia wizi wa umeme na ubadhirifu wa fedha kwa wafanyakazi washirika hilo huku likijikita zaidi kuhakikisha mabadiliko hayo yanaenda sambamba na kupunguza kukatika kwa umeme na kuongeza usambazaji wa umeme vijijini.

ADVERTISEMENT

 

TANESCO licha ya kuwa taasisi ya kiserikali inakabiliwa na kushuka kwa makusanyo hali iliyopelekea kuongezeka kwa deni ambapo kwa mwaka mmoja takribani Sh.140 bilioni zimeongezeka huku makusanyo yakishuka chini kwa takribani Sh.227 bilioni.

Tags: fedhaTANESCOumeme
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

NMB yamwaga mabilioni kwa serikali

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In