• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Usafiri Ubungo changamoto, nauli zapandishwa kiholela

Abiria wanapandishiwa nauli hali inayowafanya kulipa zaidi ya nauli iliyopangwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra).

Patricia Richard by Patricia Richard
December 24, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha mabasi cha Ubungo jijini Dar es salaam, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isaac Kamwelwe amebaini kupandishwa kwa nauli na madalali licha ya jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani kuonya kupandisha bei za nauli kuelekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya.

Mbali na nauli kupandishwa, imegundulika kuwa abiria wanaosafiri kuelekea mikoa ya Singida, Shinyanga, Tabora, Mbeya na Kilimanjaro, wamekumbwa na changamoto ya usafiri kufuatia wingi wa abiria na uchache wa mabasi hayo.

ADVERTISEMENT

Akizungumza baada ya ziara hiyo, Waziri Kamwelwe amewaeleza waandishi wa habari kuwa abiria wanapandishiwa nauli hali inayowafanya kulipa zaidi ya nauli iliyopangwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra).

“Nimefika kituoni hapa saa 11:15 alfajiri na kuzunguka kwenye baadhi ya mabasi nikabaini kuwa baadhi ya abiria wanalipishwa nauli tofauti na bei elekezi ya serikali”. Amesema Kamwelwe.

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhan Kailima ametoa wito kwa abiria kutoa taarifa wanapokuta nauli zimepandishwa ili wanaofanya hivyo wachukuliwe hatua. Naye Meneja wa kituo hicho, Imani Kasagala, amesema chanzo cha kupandishwa nauli kiholela ni baadhi ya wamiliki kupaki nje ya kituo na kutafuta madalali badala ya kuingia ndani ya kituo kama utaratibu unavyoelekeza.

Tags: Isaac KamwelweSUMATRAUbungousafiri
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Wakulima washauriwa kutumia mbolea kuchochea uzalishaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In