• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Utalii ukuze biashara

Patricia Richard by Patricia Richard
May 18, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Tanzania ni moja kati ya nchi ambayo imebahatika kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii. Wageni wengi kutoka nchi za nje hufika hapa ili kujionea vivutio tulivyonavyo na kwa kufanya hivyo husaidia kuingizia taifa fedha za kigeni. Lakini wafanyabiashara wadogo, wa kati pamoja na wakubwa wanatumia fursa hizi za utalii kuinua biashara zao. Kupitia sekta ya utalii biashara hapa nchini zinaimarika. Hivyo basi, ni nini kifanyike ili kuchochea biashara kupitia vivutio vyetu vya utalii?

Kwanza watanzania kwa ujumla wanapaswa kuwa mabalozi wa utalii ndani na nje ya nchi. Kuna kila sababu ya kujenga mazoea ya kufahamu kwa undani vivutio tulivyonavyo nchini kwetu na sisi wenyewe kuvitembelea ili kuona umuhimu na kufahamu sekta hiyo kwa undani. Kufanya hivyo inakuwa fursa nzuri ya kukutana na watu mbalimbali na kutangaza biashara au huduma yako moja kwa moja. Kuwa katika mazingira haya pia kunasaidia kufahamu watalii wanahitaji nini kutoka katika soko la Tanzania hivyo inakuwa nafasi nzuri kuwapatia kile wanachohitaji.

ADVERTISEMENT

Ili kukuza biashara kwa kupitia sekta ya utalii, ni muhimu kwa wafanyabiashara pia kuzingatia viwango vya ubora. Ni vizuri kuhakikisha kuwa bidhaa yako inazingatia ushindani wa kimataifa kabla ya kuitambulisha katika maeneo ya kitalii kwani wateja hawa wakifurahia bidhaa zako wanakuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kukutangaza kibiashara wakirudi nchini kwao hivyo kupanua wigo la soko kwako. Wafanyabiashara wanatakiwa kuzingatia ubora katika bidhaa zao ili kujenga mahusiano ya kudumu ya wateja wao ambao pia wanaweza kuvutia wateja wengi zaidi.

Vikundi vya ujasiriamali vitumie nafasi hii kutambulisha biashara zao. Kuwe na desturi ya kuuza bidhaa zao katika vivutio vya utalii. Vikundi hivi vinaweza kuingia mkataba na hoteli au mbuga za wanyama ili waweze kupata fursa za kufanya maonyesho ya kibiashara na kueleza watalii wanaofika hapa nchini na hata ambao ni wazaliwa kuhusiana na kile wanachokifanya. Kufanya hivi mbali na kuwapatia soko la biashara pia kunaweza kufungua milango ya mashirika na taasisi mbalimbali kuwekeza au kuwadhamini na hivyo kuweka biashara zao katika nafasi nzuri zaidi.

Sekta ya utalii ina umuhimu mkubwa katika maendeleo ya nchi. Japokuwa bado kuna changamoto zinazoikumba sekta hiyo kama vile kukosekana kwa umeme wa uhakika lakini kupitia utalii, watanzania wengi wameweza kupata ajira na kubadilisha maisha yao. Serikali kwa kusaidiana na wadau mbalimbali wa masuala ya utalii wanapaswa kuendelea kuelimisha jamii kuhusu vivutio vinavyopatikana hapa nchini ili sekta hii iendelee kuimarika.

 

Tags: biasharaHoteliTanzaniaujasiriamaliutalii
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Kinachopelekea biashara kufungwa hiki hapa

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In