• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

JPM awajia juu wapora ardhi

Patricia Richard by Patricia Richard
September 6, 2018
in UWEKEZAJI
0
JPM ahoji Mbeya kukosa stendi

Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Share on FacebookShare on Twitter

Rais John Magufuli amekemea tabia ya matajiri kupora ardhi za wanyonge na kusingizia ni kwa ajili ya shughuli za uwekezaji au kuwa na leseni za uchimbaji madini na kuwaonya wasifanye hivyo hadi atakapomaliza awamu yake. Rais Magufuli amesema hayo katika ziara yake wilayani Bunda mkoani Mara, akisisitiza uporaji ardhi za wanyonge hautafanywa wakati wa utawala wake kwani enzi za utumwa zilikoma mwaka 1961 baada ya ukombozi wa nchi chini ya baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

“Katika utawala wangu sitaki kuona mwananchi maskini anadhulumiwa ardhi kwa kisingizio cha uwekezaji, hii ndiyo serikali yangu, wasubiri niondoke ndio warudi kama walivyokuwa wamezoea”. Amesema Rais Magufuli.

ADVERTISEMENT

Kauli hiyo ya Rais Magufuli imetokana na malalamiko ya wananchi wa wilaya hiyo waliokuwa na mabango yakitaja jina la Magoma ambapo baada ya kuhoji, Rais alifahamishwa kuwa ni muwekezaji aliyepora ardhi bila kulipa wananchi wa eneo husika fidia.

“Ni lazima tuwe na utaratibu mzuri wa kuchukua ardhi za masikini, huwezi ukamtoa masikini ukamwambia hama, eti kwa sababu ana prospectus license ya wizara ya madini. Amekuta watu hapa ni lazima kama anataka kuwahamisha awalipe kwa fedha ninazotaka mimi na hii ni kwa mujibu wa Sheria na sio kuja kuwavuruga watu tu hapa eti kwa sababu una leseni ya ardhini ni lazima Sheria ya madini iende sambamba na Sheria za ardhi namba nne na ile ya vijiji Kifungu G”. Amesisitiza Rais Magufuli.

Tags: ardhiMagufuliMarasheria
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
USDF yawapa tumaini wakulima kahawa

Mkopo wafurahisha wakulima wa kahawa

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In