• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, May 23, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Royal Tour kuzinduliwa Marekani

Ni filamu ya kutangaza utalii Tanzania

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
April 13, 2022
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Baada ya kukamilika kwa programu ya uzalishaji wa filamu ya Royal Tour (Filamu inayoelezea utalii wa Tanzania) hatua inayofuata ni uzinduzi wa filamu hiyo.

Uzinduzi utafanyika kwa namna mbili ambapo namna ya kwanza ni nje ya nchi na baadae itazinduliwa nchini.

Katibu Mkuu wizara ya Utamaduni, Hassan Abbas amesema kutakuwa na uzinduzi sehemu kubwa mbili ambapo wa kwanza ni tarehe 18 April utafanyika New York na April 21 utafanyika huko Los Angeles nchini Marekani.

Kwa upande wa Tanzania uzinduzi utafanyika April 28 jijini Dar es Salaam na Mei 07 huko Zanzibar.

Abbas amesema “malengo makubwa ya kufanya uzinduzi Marekani kwanza ndiko ambako malengo ya uzalishaji wa filamu hii yalikuwa, kwanza tuvutie watalii na wawekezaji kutoka nchini marekani na dunia kwa ujumla kwa sababu baadae filamu hiyo itaoneshwa na kutangazwa maeneo mbalimbali duniani.

Faida nyingine za filamu hiyo ni kukuza utalii kwa kutangaza nchi kimataifa, kukuza na kueneza utamaduni wa Tanzania, kuongeza pato la taifa, kuimarisha uchumi na kuongeza fursa za ajira kwenye sekta ya utalii na sekta mbalimbali za uwekezaji.

Nyingine ni ulinzi wa rasilimali kubadilisha mtazamo wa baadhi ya alama za kihistoria za Tanzania na kuimarisha nafasi ya nchi katika majukwaa ya kimataifa.

Augost, 2021 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alianza kurekodi kipindi hicho maarafu maeneo mbalimbali ya utalii Tanzania ikiwemo mbuga za wanyama.

 

 

ADVERTISEMENT

 

 

Tags: MarekaniTanzaniautaliiuwekezajizanzibar
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Uber yasitisha shughuli zake Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

May 23, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

May 23, 2022

RC Makalla: Serikali imedhamiria kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara

May 19, 2022

Madereva watakiwa kuzima magari ya serikali

May 17, 2022

Waziri Mkuu apokea taarifa nyongeza ya mishahara

May 11, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

May 10, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeweka mkazo mkubwa katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji kuanzaia mwaka wa fedha...

Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Akiwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In