• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Sheria ya madini ya 2017 yaanza kuzaa matunda

Patricia Richard by Patricia Richard
August 27, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kufuatia Sheria mpya ya madini ya mwaka 2017 yenye kuzitaka kampuni za madini kuandaa mpango wa matumizi ya fedha za huduma kwa kushirikiana na halmashauri kabla ya kuanzisha mradi, serikali kupitia halmashauri ya Geita kwa kushirikiana na kampuni ya madini ya Geita Gold Mining (GGM) imeanza utekelezaji wa miradi mbalimbali kupitia fedha za huduma za maendeleo ya jamii (CSR).

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa miradi mitatu yenye kugharimu kiasi cha Sh 1.5 bilioni, Mkuu wa mkoa huo Robert Gabrieli amesema miradi hiyo ambayo ni ujenzi wa barabara ya mzunguko wenye kugharimu zaidi ya Sh. 300 milioni, jengo la kisasa lenye vyumba 80 litakalogharimu Sh 1.2 bilioni sambamba na uwekaji taa 150 za barabarani utakaogharimu kiasi cha Sh. 70 milioni amesema kuwa ni mapinduzi makubwa yaliyoletwa na mabadiliko ya Sheria mpya ya madini ya mwaka 2017.

“Mwaka huu GGM watatoa Sh 9.2 Bilioni ambazo ni fedha za huduma kwa jamii zinazotarajia kuleta mabadiliko makubwa ya maendeleo kwa jamii” Amesema Gabrieli.

Aidha Mkuu wa mkoa huyo ameagiza mkandarasi anayehusika kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha na kukabidhi mradi huo kwa wakati kwa kuwa hatomvumilia yeyote atakayekiuka makubaliano yaliyofikiwa.

“Makandarasi wengi wazawa ni wababaishaji wanatusumbua miradi yao inasuasua mimi nasema wazi sitawavumilia” Alisema

Akizungumzia uanzishwaji wa miradi hiyo Msimamizi Mkuu wa miradi ya GGM , Moses Rusasa amesema miradi hiyo ni sehemu tu ya miradi yao ambayo imeanza kutekelezwa. Rusasa amesema fedha za huduma za jamii katika mji wa Geita zimejikita katika kuboresha huduma za afya pamoja na elimu.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Geita, Modest Apolnary amesema kuwa jengo la kisasa linatarajiwa kuwa na maduka pamoja na benki na amemtaka mkandarasi aliyepewa zabuni hiyo kukamilisha kwa wakati.

ADVERTISEMENT

 

 

Tags: GeitaGGMmadiniuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Wakulima waaswa kujiunga kwenye vikundi

Discussion about this post

Habari Mpya

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

February 8, 2023

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

by Pesatu Reporter
February 8, 2023
0

Sio lazima uingie darasani na upate elimu katika mfumo rasmi ndipo uweze kufanikiwa katika maisha. Ndivyo wanavyoweza kusema kikundi cha...

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In