• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, September 22, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TRA kuendeleza mradi Kibaha

Patricia Richard by Patricia Richard
September 1, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imetola ufafanuzi juu ya kusimama kwa ujenzi wa Jengo la TRA mjini Kibaha mkoani Pwani. Akizungumza mkoani humo, Mkurugenzi wa TRA Elimu kwa Mlipakodi, Richard Kayombo ametaja sababu za kusuasua kwa mradi huo kuwa ni pamoja na kuwepo kwa sintofahamu ya kimkataba baina ya mamlaka hiyo na mkandarasi, sababu nyingine ikidaiwa kuwa ni kushindwa kwa mamlaka hiyo kumsimamia ipasavyo mkandarasi wa mradi huo ambaye ni M/H Humphrey Construction Ltd.

Ujenzi ulisimama kutokana na changamoto ya kimkataba ila tayari tumefanyia kazi na mkandarasi mtamuona akiendelea na ujenzi wakati wowote hapo mjini Kibaha. Nimewasiliana na wahusika wamesema si kwamba kazi yote ya ujenzi wa jengo hilo imekamilika. Unaweza kuona halipo sawa lakini ni kutokana na ujenzi kusimama kwa muda”. Amesema Kayombo

Kauli hiyo imetolewa ikiwa ni siku kadhaa baada ya Mkuu wa mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo kutembelea mradi huo na kukuta umesimama ambapo mamlaka ya mapato mkoani humo ilidai kutojua chochote kinachoendelea kutokana na mamlaka hiyo kulipa fedha moja kwa moja toka makao makuu badala ya kuzipitisha katika ngazi ya mkoa kama ulivyo utaratibu.

Soma Pia Msamaha wa riba wajaza wafanyabiashara TRA

Ndikilo amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi na uendeshaji wa mradi huo ambao mpaka sasa mkandarasi amelipwa asilimia 61 huku ukigharimu kiasi cha Sh. 61 bilioni ilhali mradi huo haujakamilika huku mkandarasi akiomba kuongezewa kiasi cha Sh. 200 milioni jambo aliloeleza kumpa wasiwasi.

“Nasikitika TRA ambayo ni taasisi ya serikali inyokusanya fedha kwa niaba ya serikali imeshindwa kumsimamia mkandarasi mpaka kazi ya ujenzi imefikia hapa haiendani na thamani halisi ya fedha zinazodaiwa kutumika mpaka sasa”. Ameeleza Ndikilo.

 

ADVERTISEMENT

 

 

Tags: KibahaPwaniTRAujenzi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Biashara zinazolipa zaidi Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In