• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TRA kuendeleza mradi Kibaha

Patricia Richard by Patricia Richard
September 1, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imetola ufafanuzi juu ya kusimama kwa ujenzi wa Jengo la TRA mjini Kibaha mkoani Pwani. Akizungumza mkoani humo, Mkurugenzi wa TRA Elimu kwa Mlipakodi, Richard Kayombo ametaja sababu za kusuasua kwa mradi huo kuwa ni pamoja na kuwepo kwa sintofahamu ya kimkataba baina ya mamlaka hiyo na mkandarasi, sababu nyingine ikidaiwa kuwa ni kushindwa kwa mamlaka hiyo kumsimamia ipasavyo mkandarasi wa mradi huo ambaye ni M/H Humphrey Construction Ltd.

Ujenzi ulisimama kutokana na changamoto ya kimkataba ila tayari tumefanyia kazi na mkandarasi mtamuona akiendelea na ujenzi wakati wowote hapo mjini Kibaha. Nimewasiliana na wahusika wamesema si kwamba kazi yote ya ujenzi wa jengo hilo imekamilika. Unaweza kuona halipo sawa lakini ni kutokana na ujenzi kusimama kwa muda”. Amesema Kayombo

ADVERTISEMENT

Kauli hiyo imetolewa ikiwa ni siku kadhaa baada ya Mkuu wa mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo kutembelea mradi huo na kukuta umesimama ambapo mamlaka ya mapato mkoani humo ilidai kutojua chochote kinachoendelea kutokana na mamlaka hiyo kulipa fedha moja kwa moja toka makao makuu badala ya kuzipitisha katika ngazi ya mkoa kama ulivyo utaratibu.

Soma Pia Msamaha wa riba wajaza wafanyabiashara TRA

Ndikilo amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi na uendeshaji wa mradi huo ambao mpaka sasa mkandarasi amelipwa asilimia 61 huku ukigharimu kiasi cha Sh. 61 bilioni ilhali mradi huo haujakamilika huku mkandarasi akiomba kuongezewa kiasi cha Sh. 200 milioni jambo aliloeleza kumpa wasiwasi.

“Nasikitika TRA ambayo ni taasisi ya serikali inyokusanya fedha kwa niaba ya serikali imeshindwa kumsimamia mkandarasi mpaka kazi ya ujenzi imefikia hapa haiendani na thamani halisi ya fedha zinazodaiwa kutumika mpaka sasa”. Ameeleza Ndikilo.

 

 

 

Tags: KibahaPwaniTRAujenzi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Biashara zinazolipa zaidi Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In