• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wawekezaji dawa za mifugo washauriwa kuchangamkia fursa

Patricia Richard by Patricia Richard
July 11, 2018
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Wadau mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wametakiwa kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya dawa za mifugo,ili kukidhi mahitaji na upatikanaji wa dawa hizo kwa uhakika. Ushauri huo umetolewa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega alipotembelea kituo cha uchunguzi wa magonjwa ya wanyama Kanda ya Ziwa (ZVC) na wakala wa maabara na Mifugo (TVLA) jijini Mwanza.

“Kuna fursa kubwa ya kuwekeza kwenye viwanda vya dawa za mifugo,serikali inatengeneza mazingira na miundombinu mizuri kwa ajili ya uwekezaji,hivyo wadau wajitokeze “Alisema Ulega.

ADVERTISEMENT

Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo, lakini kumekuwa na changamoto kubwa ya uhaba wa dawa. Waziri Ulega ameeleza kuwa, Tanzania ina takribani ng’ombe milioni 30, mbuzi milioni 15, kondoo takribani milioni 8, nguruwe milioni 5 na kuku wapatao milioni 60.

Awali Kaimu Ofisa Mfawidhi ZVC, Dk Subira Mwakabumbe alisema kwa mwaka 2016/17 mikoa sita ya kanda ya ziwa katika halmashauri za Kahama, Missenyi, Biharamulo, Rorya na Ushetu ng’ombe 178 walikufa kutokana na homa ya mapafu,huku 56420 wakichinjwa kuzuia ugonjwa huo kuenea zaidi. Aidha, katika wilaya za Nyamagana, Ilemela (Mwanza) na Bukoba mkoani Kagera nguruwe 2430 waliripotiwa kufa kutokana na homa ya nguruwe.

Naye Meneja wa TVLA Dk. Joseph Genchwere amedai sampuli 5323 zimeshakusanywa huku changamoto kubwa ikiwa ni mwitikio mdogo wa wafugaji kupeleka sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa kimaabara kubaini ugonjwa ili kutoa tiba.

Tanzania ni nchi ya Tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo lakini inakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa, tatizo ambalo linahitaji uwekezaji wa viwanda vya utengenezaji na uzalishajiwa dawa za mifugo ili kutatuliwa.

Tags: mifugouwekezajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

ATCL yazidi kuboresha huduma zake

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In