• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vodacom yasherehekea Wiki ya Wateja

Athanas Lupatu by Athanas Lupatu
October 4, 2018
in BIASHARA
0
Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (kulia) akimhudumia mteja Rafi Soule, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa Mteja katika duka la Vodacom lililopo makao makuu ya kampuni hiyo  Morocco jijini Dar es salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa  Huduma kwa wateja (Customer Care) Harriet Lwakatare.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (kulia) akimhudumia mteja Rafi Soule, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa Mteja katika duka la Vodacom lililopo makao makuu ya kampuni hiyo Morocco jijini Dar es salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja (Customer Care) Harriet Lwakatare.

Share on FacebookShare on Twitter

Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi, Vodacom imesherehekea wiki ya wateja kwa kutoa zawadi mbalimbali  na kuhaidi kuzidi kuboresha huduma kwa wateja wake.

ADVERTISEMENT
WATEJA WA KWANZA KUNUNUA LINE YA VODACOM : Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja (Customer Care) Harriet Lwakatare (kulia) akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wa kwanza kununua laini ya simu ya Vodacom mwaka 2000, Mama Sion Nnko, wakati mtandao huo unaanzishwa. Wateja hawa walitembelea walipotembelea makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana, Sambamba na zawadi hiyo wateja hao walizawadiwa TUZO points zenye thamani ya 200,000 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Mteja. Kushoto ni Benedict Kajukano, Bernard Masao na Emmanuel Lutashohyce.
Baadhi ya wateja wa kwanza kununua laini ya simu ya Vodacom mwaka 2000, kutoka kushoto Sion Nnko, Benedict Kajukano, Bernard Masao, Emmanuel Lutashohyce na Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja ( Customer Care) Harriet Lwakatare wakimsikiliza Afisa chapa wa kampuni hiyo, Grace Kijo wakati walipotembelea Makao Makuu ya Vodacom jijini Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Mteja.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (kushoto) akizungumza na wateja wa Vodacom alipotembealea duka la Vodacom lililopo Morocco jijini Dar es salaam kuwashukuru wateja wa kampuni hiyo. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja (Customer Care) Harriet Lwakatare na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Tags: Grace KijoHarriet LwakatereHisham HendiVodacom
Athanas Lupatu

Athanas Lupatu

Next Post

Stiegler's Gorge kusaidia utunzaji mazingira

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In