• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vodacom yazindua mnara wa kwanza wa simu Wilayani Longido

Athanas Lupatu by Athanas Lupatu
November 19, 2018
in BIASHARA
0
Mkuu wa wilaya ya Longido, Bw Frank Mwaisumbe akikata utepe kuzindua mnara wa kwanza wa simu za mkononi katika wilayani Longido mkoani Manyara uliozinduliwa na kampuni ya Vodacom Tanzania Mwishoni mwa wiki iliyopita. Mnara huu utasaidia mawasiliano na shuuli za kiuchuni kwani eneo hilo ni eneo mahususi kwa uchimbaji wa madini ya Ruby mkoani hapo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kanda ya Kazikazini wa kampuni ya Vodacom Tanzania Bi Brigita Stephen (kushoto) na wanakijiji wa Longido.

Mkuu wa wilaya ya Longido, Bw Frank Mwaisumbe akikata utepe kuzindua mnara wa kwanza wa simu za mkononi katika wilayani Longido mkoani Manyara uliozinduliwa na kampuni ya Vodacom Tanzania Mwishoni mwa wiki iliyopita. Mnara huu utasaidia mawasiliano na shuuli za kiuchuni kwani eneo hilo ni eneo mahususi kwa uchimbaji wa madini ya Ruby mkoani hapo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kanda ya Kazikazini wa kampuni ya Vodacom Tanzania Bi Brigita Stephen (kushoto) na wanakijiji wa Longido.

Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Vodacom Tanzania imezindua mnara wa kwanza wa simu za mkononi wilayani Longido kata ya Mundarara eneo mahususi linalofanyika shuhuli za uchimbaji wa madini ya Ruby Mkoani Manyara.

Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mh Frank Mwaisumbe (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Kanda ya Kazikazini wa kampuni ya Vodacom Tanzania Bi Brigita Stephen (kushoto) wakipewa maelezo na Mkandarasi wa kampuni ya Vodacom Tanzania Bw. Isaac Peter Olesingo juu ya uwezeshaji wa mawasiliano utakaosaidia shuhuli za kiuchumi kijijini hapo ambapo shuhuli za uchimbaji wa madini ya Ruby zinafanyika.
Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mh Frank Mwaisumbe akizungumza na wachimbaji wa madini ya Ruby na wanakijiji wa Kata ya Mundarara Wilaya ya Longido juu urahisi wa mawasilioano haswa kwa wafanya biashara wa madini ya Ruby baada ya uzinduzi wa mnara wa kwanza wa simu kijijini hapo uliozinduliwa na kampuni ya Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mkuu wa Wilaya ya Longido, Bw Frank Mwaisumbe (kulia), Mkurugenzi wa Kanda ya Kazikazini wa kampuni ya Vodacom Tanzania Bi Brigita Stephen (kati) na Diwani wa Kata ya Mundarara, Bw Alais Mshao (kushoto) wakipewa maelezo na Mkandarasi wa kampuni ya Vodacom Tanzania Bw. Isaac Peter Olesingo juu manufaa ya kiuchumi yatakayo tokana na mnara huu wa kwanza wa simu kufikisha mawasiliano kijijini hapo ambapo shuhuli za uchimbaji wa madini ya Ruby zinafanyika.
Tags: Brigiits StephenFrank MwaisumbeIsaac OlesingoLongidoManyaraMundararaRubyVodacom Tanzania
Athanas Lupatu

Athanas Lupatu

Next Post

Bilioni 50 kukarabati uwanja wa ndege Mtwara

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In