Vodacom Tanzania imezindua mnara wa kwanza wa simu za mkononi wilayani Longido kata ya Mundarara eneo mahususi linalofanyika shuhuli za uchimbaji wa madini ya Ruby Mkoani Manyara.



Vodacom Tanzania imezindua mnara wa kwanza wa simu za mkononi wilayani Longido kata ya Mundarara eneo mahususi linalofanyika shuhuli za uchimbaji wa madini ya Ruby Mkoani Manyara.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...
Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...
Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...
Discussion about this post