• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa ujenzi reli ya kisasa

Fursa ujenzi SGR

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
February 15, 2021
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Wito umetolewa kwa watanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye ujenzi wa reli ya mwendo kasi inayojengwa kutoka Mwanza kwenda Isaka mkoani Shinyanga itakaogharimu takribani Sh Trilion 3.

Wito huo umetolewa kwenye Kongamano la Mpango Kazi na Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) awamu ya tano uliokutanisha wadau mbalimbali jijini Mwanza.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Masanja Kadogosa alisema makampuni yenye sifa yanatakiwa kuomba tenda za aina mbalimbali zinazohitajika kwenye Mradi huo haraka ili kuepuka udanganyifu kwenye shughuli hiyo.

Mhandisi Kadogosa alisema “ujenzi wa sehemu ya Reli SGR toka Mwanza hadi Isaka utagharimu trilioni 3 na utakamilika ndani ya miezi 36 utasaida kuongeza huduma za usafiri kwa wananchi pamoja na bidhaa hivyo kusukuma gurudumu la maendeleo.

Alisema Mradi huo utazalisha zabuni mbalimbali ikiwemo za usafirishaji, ukandarasi, na utatoa ajira za moja kwa moja kwa watu 15,000 na zisizo rasmi 75,000 na itakuwa na urefu wa kilometa 341.

ADVERTISEMENT

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella, alisema kukamilika kwa ujenzi wa Mradi huo utasaida wafanyabiashara kusafirisha mizigo yao kutoka na kwenda Dar es salaam kwani zaidi asilimia 80 ya wafanyabiashara hutumia njia hiyo.

Mongella amewataka wafanyabiashara kuchangamkia fursa zitakazoletwa na ujenzi wa Mradi huo kwani utazalisha uhitaji wa huduma nyingi toka kwa watanzania panapopita reli hiyo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela aliwapongeza TRC kwa kuamua kuzishirikisha taasisi za fedha kuelekea kuanza kwa awamu ya tano ya ujenzi wa SGR kutoka mwanza hadi Isaka.

“Sote tunafahamu, CRDB imekuwa mdau mkubwa wa maendeleo, hivyo tutahakikisha tunashiriki kwa njia mbalimbali katika ujenzi wa SGR ikiwemo kutoa mikopo kwa wakandarasi na kufadhili miradi mingine wakati wa ujenzi wa reli,” alisema Nsekela.

Alisema mpaka sasa benki ya CRDB imeweka sera wezeshi kwa wakandarasi ambapo inatoa dhamana ya Bid Guarantee kwa wakandarasi wanaotafuta kandarasi, dhamana ya utekelezaji  wa mradi inayofahamika kama Performance Guarantee na dhamana ya malipo ya awali yaani Advance Payment Guarantee.

Afisa Mahusiano wa Benki ya NBC Mwanza, Ester Kahabi amewataka wananchi kuchangamkia fursa za ujenzi wa kipande cha Reli hiyo kwa kuchukua mikopo yenye riba nafuu na kuwekeza katika Miradi ya ujenzi wa reli hiyo.

Tags: reliTanzaniaUchumi wa viwanda
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Kila mtanzania anatakiwa awe na bima ya maisha

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In