• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, June 27, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Fedha kutopelekwa mifuko maalum kwaibua maswali

Patricia Richard by Patricia Richard
June 20, 2018
in FEDHA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kamati ya Bajeti imehoji kuhusu Sh. 755.29 bilioni zilizokusanywa na serikali lakini hazikupelekwa kwenye mifuko maalum iliyoanzishwa na serikali kwa ajili ya mikakati ya umeme, maji, reli na miradi ya barabara.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Hawa Ghasia ameeleza kuwa fedha hizo zina uzio wa kisheria na hazipaswi kuwekwa katika mfuko wa serikali.

Mbali na hayo, Kamati ya Bajeti pia imetoa wito kwa Bunge kuishauri serikali kutoingilia mifuko hiyo kwani kufanya hivyo kunaathiri ufanisi.

Kati ya fedha hizo, Sh. 273.89 bilioni zilikusanywa kama ushuru wa maendeleo ya reli lakini hazikufika katika miradi iliyokusudiwa.

ADVERTISEMENT

Katika uchambuzi uliofanywa na kamati hiyo kwenye mfuko wa barabara unaokusanya mapato kutokana na ushuru wa magari ya kigeni mpakani, tozo za mafuta ya petrol, dizeli pamoja na magari yanayozidisha uzito, uliidhinishwa Sh.917.548 bilioni mwaka 2017/2018 lakini kufikia Aprili, asilimia 68.5 ya fedha hizo zilikuwa zimekusanywa na Wizara ya Fedha na Mipango.

Ghasia ameshauri Bunge kupewa taarifa ya makusanyo na utolewaji wa fedha hizo kwa Mei na Juni ili mfuko huo uweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu

Tags: bajetibungefedhamapato
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Meneja Mkuu wa mgodi wa Buzwagi na Bulyanhulu, Benedict Busunzu (wa pili kushoto) akionesha tuzo waliyoshinda katika picha ya pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Institute of People Management Africa, Dk Jerry Gule (kushoto), Meneja Mkuu wa Kazi, Stewart Hamilton (wa pili kulia) na Janet Reuben-Lekashingo, Meneja Mkuu wa Ufanisi wa Shirika.

Mgodi wa Buzwagi washinda tuzo Afrika

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In