• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Taasisi za fedha zashauriwa kupunguza riba kwenye mikopo

“Mkopo wenye riba kubwa hauna urafiki na maskini"

Patricia Richard by Patricia Richard
December 15, 2018
in MIKOPO
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti George Simbachawene.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti George Simbachawene.

Share on FacebookShare on Twitter

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti George Simbachawene ametoa wito kwa taasisi za fedha kote nchini kupunguza riba kwenye mikopo wanayotoa kwa vikundi vidogo vidogo ili viweze kujikwamua kiuchumi. Simbachawene amesema hayo alipokuwa akifungua mkutano wa 20 wa Chama cha kuweka na kukopa cha Walimu Mpwapwa.

Mwenyekiti huyo ameeleza kuwa hivi sasa, kinachoonekana kwenye taasisi hizo ni utoaji mikopo yenye riba kubwa jambo linalosababisha ziweze kufa. Simbachawene amesisitiza kuwa lengo kuu la vyama vya ushirika au vile vya kuweka na kukopa fedha ni kuwasaidia wanyonge ambao wanakuwa wameungana kwa dhumuni la kupambana na umaskini.

“Mkopo wenye riba kubwa hauna urafiki na maskini bali una lengo la kudidimiza wanyonge, hizi taasisi zinazotoa mikopo zinatoa kwa riba kubwa jambo linalosababisha zingine kufa, kufilisiwa mali zao”. Amesema Simbachawene.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Meneja wa chama hicho, Joackim Mokiwa amesema changamoto kubwa waliyonayo mwaka huu ni hasara ya Sh. 6.68 milioni iliyotokana na baadhi ya watumishi kugundulika kuwa na vyeti feki, hali iliyopelekea kukosa sifa ya kuwa wanachama wakiwa tayari wamechukua mikopo.

 

Tags: George SimbachaweneRibaTaasisi za fedha
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Foleni Dar kubaki historia.

Misaada imepungua, nchi inapitia kipindi kigumu-Dk. Mpango

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In