• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima itumieni TADB-Majaliwa

Nia kuu ya serikali kuanzisha benki ya kilimo ni kuwakomboa wakulima

Patricia Richard by Patricia Richard
November 26, 2018
in MIKOPO
0
Wawekezaji wahakikishiwa ushirikiano

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wakulima mkoani Tabora kuchangamkia fursa za mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili wapate nafasi ya kuongeza uzalishaji katika shughuli zao. Majaliwa amesema hayo alipokuwa akizungumza kwenye jukwaa la uwezeshaji mkoani humo na kueleza kuwa nia kuu ya serikali kuanzisha benki ya kilimo ni kuwakomboa wakulima na kuwawezesha kufanya kilimo biashara.

“Napenda kuwashauri wawekezaji binafsi na taasisi mbalimbali mkoani Tabora tumieni fursa za mabenki ikiwemo Benki yenu ya kilimo kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo na mifugo. TADB inafanya vizuri sana hata Mheshimiwa Rais Magufuli ameisifu pia. Wakati ndio huu wa kujiimarisha katika kilimo. Tumieni uwepo wa Benki yenu ya kilimo kupata mikopo kupanua wigo wa shughuli zenu za kilimo na mifugo”. Amesisitiza Majaliwa.

ADVERTISEMENT

Aidha, Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amesema mkoa huo umejipanga kuhakikisha unaweka mazingira rafiki kwa ajili ya wawekezaji ikiwemo kuondoa urasimu katika usajili wa ardhi na kutoa vibali. Naye Meneja wa TADB katika ukanda huo. Geofrey Mtawa ameeleza kuwa benki hiyo inatoa mikopo inayolenga kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika mnyororo wa thamani.

“Tunatoa mikopo kwa ajili ya maghala ya kuhifadhia mazao, ununuzi wa zana bora za kilimo”. Amesema Mtawa.

Tags: benkiKassim MajaliwakilimoTaboraTADBuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

AfDB yafanya uwekezaji wa aina yake Kenya

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In