• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kimbilieni kuwezesha waanzisha miradi: Waziri wa Fedha

Acheni kukimbilia kufungia shughuli za uzalishaji: Waziri

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 13, 2023
in FEDHA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za serikali kuwezesha watu wanaoanzisha shughuli za uzalishaji nchini.

Mwigulu amesema hayo katika Kongamano la Kodi Kitaifa lililofanyika jijini Dar es Salaam na kukutanisha wadau mbalimbali wa masuala ya kodi kujadili namna ya kuboresha Sera za Kodi, kuchochea ukuaji wa uchumi, biashara na uwekezaji nchini.

“Mtu yeyote anaetaka kuanzisha shughuli za uzalishaji watendaji wa serikali wanapaswa kumkimbilia kumwezesha, taasisi za serikali zinatakiwa kupishana mlangoni kuangalia anakwama wapi wamsaidie, wamkwamue,” amesisitiza Mwigulu.

ADVERTISEMENT

Amesema “tulipotoka nyuma kule kuanzia uhuru kuja huku ambapo serikali alikuwa anafanya kila kitu, watendaji wote huwa wanakimbilia kumdhibiti, watapishana kwenda kumdhibiti, funga, na kuangalia amekosea wapi ili asiendelee.”

Akizungumzia swala la kodi amesema kama makusanyo hayaendelei hakuna namna tunaweza tukapata huduma bora.

“Hivi kunavyokuwa na ongezeko la watu ni lazma makusanyo tuyaongeze kwa uwiano wowote ule, tunahitaji kwa ajili ya mambo ya huduma za afya, elimu, kilimo, miundombinu, usalama na shughuli nyingine, ili tuweze kutimiza haya ni lazma kila mtu aone ni wajibu wake,” ameeleza Waziri Mwigulu.

Amesema takwimu za sensa ya mwaka jana inaonyesha kuwa kuna takribani ya Watanzania milioni 62, ambapo kati yao walipa kodi ni milioni tatu tuu.

“Tuna nguvu kazi kubwa ambayo ingekuwa kazini ingeongeza nguvu ya uchumi kwa kuwa sehemu ya walipa kodi,” amesema Waziri Mwigulu.

Tags: afyaelimufedhamapatoTanzaniaWalipakodi
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Serikali kutoa mafunzo ya kilimo biashara kwa vijana

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In