• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kitengo cha huduma kwa wateja kiboreshwe

Patricia Richard by Patricia Richard
June 12, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ukizungumzia masuala ya huduma kwa wateja, taasisi nyingi za hapa nchini bado zina changamoto kubwa katika sekta hii. Makampuni ya mawasiliano ya simu, benki pamoja na mashirika mengine ya serikali na yasiyo ya kiserikali yamekuwa yakilalamikiwa na watu wengi katika masuala ya kutoa huduma bora kwa wateja. Inaaminika kuwa asilimia kubwa ya walioajiriwa katika sekta hii hawana elimu, ujuzi wala mafunzo ya kutosha kuhusiana na kutoa huduma bora hivyo wanashindwa kufanya kazi zao kama inavyotakiwa.

Kitengo cha huduma kwa wateja ni muhimu sana kwa ajili ya maendeleo ya taasisi yoyote. Wateja au wawekezaji wanapofika katika sehemu hizi wanakutana kwanza na watoa huduma hawa hivyo wanabeba jukumu kubwa sana la kutangaza vyema taasisi wanazofanyia kazi. Kumekuwa na malalamiko kutoka sehemu nyingi kuwa vitengo vya huduma kwa wateja vimekuwa vibovu na huduma zao kwa kiasi kikubwa haziridishi. Hivyo basi taasisi husika zinachukua hatua gani ukabiliana na tatizo hili? Kwanini wanaoajiriwa katika kitengo hiki hawafanyi kile walichoajiriwa kufanya?

Inawezekana suala la elimu likawa changamoto kubwa katika sekta hii. Watu wengi wanaoajiriwa ili kutoa huduma kwa wateja hawana historia ya kusomea tasnia hiyo, hawana maarifa ya kutosha hivyo wanashindwa kuwahudumia wateja kama inavyotakiwa na pia wanakosa mafunzo ya kutosha kufahamu namna taasisi husika inawasaidia wateja wake. Lakini basi ni kwanini wanaajiriwa licha ya kuwa hawana vigezo vya nafasi hizo? Ni kweli baadhi ya wakuu katika sehemu hizi huwapatia tu kazi watu hawa kiholela kwa sababu ni ndugu au marafiki wa karibu?

ADVERTISEMENT

Kuna umuhimu mkubwa wa kuboresha vitengo vya huduma kwa wateja hapa nchini. Bila ya kuwa na huduma bora kwa wateja ni nani atahitaji huduma katika shirika hilo? Wateja hawataendelea kuwa wateja kama hawaridishwi na mwenendo mzima wa jinsi huduma zinavyotolewa. Inatakiwa kuwe na mfumo mzuri na unaoeleweka katika utoaji huduma ili kumshawishi mteja arudi tena siku nyingine.

Wafanyakazi katika kitengo hiki wanao wajibu wa kuhudumia wateja na kutatua matatizo yao kikamilifu bila usumbufu wowote. Hupaswi kutumia lugha ambayo sio nzuri na ni jukumu lako kutuliza wateja endapo hawatokuwa waelewa. Taasisi pia zinatakiwa kuhakikisha kuwa zinaajiri watu ambao wanakidhi vigezo vinavyotakiwa na kuwapa mafunzo ya kutosha kabla ya kuwaingiza kazini. Wateja wanayo haki ya kutoa maoni yao pale huduma wanayohitaji ikiwa na tatizo lolote na watoa huduma kwa wateja wanabeba jukumu la kuwasikiliza na kuondoa kikwazo chochote.

Tags: elimuHuduma kwa watejamaendeleomafunzo
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Tizeba awaonywa wakulima wasiofuata sheria

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In