• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Ngirente akaribisha wawekezaji Rwanda

 Jukwaa hilo ambalo limeandaliwa na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) liliwakutanisha pamoja wakuu wa nchi na serikali za Afrika ili kuhamasisha uwekezaji

Patricia Richard by Patricia Richard
November 14, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Waziri Mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente.

Waziri Mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente.

Share on FacebookShare on Twitter

Baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na wawekezaji kutoka sehemu mbalimbali barani Afrika, Waziri Mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente amewataka wawekezaji kuchangamkia fursa mbalimbali za biashara zinazopatikana nchini humo. Ngirente amesema hayo wakati wa kufunga Jukwaa la Uwekezaji Afrika (AIF) lililofanyika Afrika Kusini ambapo alimuwakilisha Rais wa Rwanda Paul Kagame. na kuwashauri wawekezaji kutumia fursa zilizopo Rwanda.

Jukwaa hilo ambalo limeandaliwa na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) liliwakutanisha pamoja wakuu wa nchi na serikali za Afrika ili kuhamasisha uwekezaji katika sekta za miundombinu, biashara, nishati pamoja na kupanga mikakati ya uwekezaji kwa ujumla.

ADVERTISEMENT

Baadhi ya miradi ambayo ilitajwa na Waziri Ngirente ni pamoja na hoteli za kisasa za Gold Resort na Karongi, ujenzi wa nyumba za gharama nafuu, Kigali kuwa jiji la ubunifu (KIC) na Gabiro Agro Park Project. Mbali na hayo, Waziri huyo pia alipata nafasi ya kuelezea mikakati iliyowekwa na serikali nchini humo ili kutengeneza mazingira rafiki ya biashara hususani katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka jana kutoka Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB), uwekezaji nchini Rwanda umefikia Dola za Marekani 1.041 bilioni ikiwa ni sawa na asilimia 62.26 ya uwekezaji wote.

Tags: AfDBbiasharaEdouard NgirenteRDBRwandaTehamauwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Watumishi wapikwa uombaji mikopo

Jinsi ya kuandaa mpango wa biashara

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In