• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Tanzania kinara wa kuvutia wawekezaji Afrika Mashariki

Tanzania inaongoza kuvutia wawekezaji kutokana  na mapinduzi makubwa yaliyofanywa na serikali ya awamu ya tano.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 6, 2018
in HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Dola 167 milioni kuwekezwa Pwani

Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Godffrey Mwambe.

Share on FacebookShare on Twitter

Na. Paschal Dotto-MAELEZO

Tanzania imeendela kuweka rekodi ya kuvutia wawekezaji kwa nchi zilizopo ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa na mtaji wa uwekezaji wa Dola Bilioni 1.18, ikifuatiwa na Uganda wenye uwekezaji wa Dola  za kimarekani 700.

Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu  wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Godffrey Mwambe amesema nchi ya Kenya inashika nafasi ya Tatu wakiwa na uwekezaji wa dola za kimarekani 670 na hivyo kuiweka Tanzania kuwa juu ya nchini zingine Afrika Mashariki.

Mwambe amesema kuwa Tanzania inaongoza kuvutia wawekezaji kutokana  na mapinduzi makubwa yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano ambapo hadi sasa imewekeza jumla ya miradi mipya 905 katika sekta mbalimbali nchini miradi ambayo itatengeneza ajira 115,055 kwa watanzania na kuleta tija na manufaa kwa taifa.

Alisema kuwa katika kipindi hiki cha miaka mitatu TIC imeweza kuvutia wawekezaji na kuweza kuandikisha, mfano kuanzishwa kwa viwanda mbalimbali ambavyo vimeweza kuongeza pato la taifa.

ADVERTISEMENT

Akifafanua zaidi anasema kuwa baadhi ya miradi mikubwa zaidi iliyowekezwa nchini ni pamoja na ikiwemo kiwanda cha Goodwill Ceremics Ltd kilichopo Mkuranga Mkoani Pwani kinachojihusisha na utegenezaji vigae na kimewekeza jumla ya dola za kimarekani milioni 53, huku kikitoa ajira za moja kwa moja 1500 kwa watanzania na ajira zisizo za moja kwa moja 3,000.

“Viwanda vingine ambavyo vimeiwezesha Tanzania kuwa kinara wa kuvutia wawekezaji ni KEDA (Twyford) Tanzania ceramic Ltd pia ni cha kutengeneza marumaru na hiki ni kikubwa zaidi kina mtaji wa Dola za kimarekani milioni 56, kimetoa ajira  za moja kwa moja zipatazo 2,000 kwa watanzania na ajira zisizo za moja kwa moja 4,000” alisema.

Anavitaja viwanda vingine kuwa ni Sayona Friut Ltd yenye mtaji wa milioni 55, KEDS(T) Co.Limited mtaji wa dola milioni 11.8 pamoja na kiwanda cha nondo cha Kiluwa Steel Group ambacho ni kikubwa kwa ukanda wa afrika mashariki kina mtaji wa Dola milioni 130 na kinazalisha jumla ya tani 200 za nondo.

Aidha Mwambe alieeleza nchi zinazoongoza kwa kuwekeza nchini Tanzania ni pamoja na Jamhuri ya Watu wa China, Uingereza  na Marekani.

“Maendeleo ya China yaliyopatikana kwa miaka 40 kwa watanzania wote ni funzo kubwa la kuwa na uzalendo, China ndiyo inaongoza kuwa kuwekeza nchini tangu miaka ya 1990, na kwa sasa ina miradi ya uwekezaji 723”, Mwambe Mkurugenzi Mkuu, TIC.

Alibainisha utaoji huduma, Mwambe anasema TIC imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika utoaji huduma kwa wateja ndani na nje ya nchi kwani kwa sasa huduma zote zinazomuhusu mwekezaji zinapatika TIC kupitia mfumo wa ‘Huduma za mahala pamoja’ ambapo huduma hii imeongeza wawekezaji kwa kuvutiwa zaidi na kuwezesha Tanzania kuwa kinara katika nchni za Afrika Mashariki.

“Tumefanikiwa  kuongeza Taasisi ambazo hazikuwepo katika huduma za mahala pamoja  ndiyo maana tuliwatafuta kwenye maofisi yao na kuwaleta hapo katika Taasisi kama NIDA, OSHA,NEMC, TBS, TFDA pamoja na TANESCO , hawa wamekuja kuimarisha na kuondoa usumbufu kwa wawekezaji  na sasa tunaongelea jambo la kuwa kinara wa kuvutia wawekezaji Afrika Mashariki”. Mwambe.

Tags: ajiraPato la taifaTICuwekezajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Korosho ni mapatano-Manyanya

Bilioni 40 zatumika kununua korosho

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In