• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kwanini unaendelea kuwa maskini japokuwa umeajiriwa?

Patricia Richard by Patricia Richard
July 2, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Watu wengi bado wamekuwa na hali ya chini kiuchumi licha ya kwamba wanafanya shughuli mbalimbali ambazo zinawaingizia kipato. Wote tunaweza kukubaliana kwamba fedha ni muhimu sana katika maisha na ndio funguo katika milango yote ya maendeleo. Huwezi hata kupata maji masafi pasipo kutumia fedha. Hivyo basi ni muhimu kujiuliza, kwanini wengi hawana maendeleo licha ya kuwa wanaingiza kipato kila baada ya mwezi au muda uliopangwa?

 

Mojawapo ya sababu zinazopelekea hali hii ni watu wengi kuwa na chanzo ama njia moja tu ya kutengeneza fedha. Anakuwa tegemezi kwa namna hiyo moja tu ili kupata fedha. Hili sio jambo baya lakini umefikiria itakuaje kama ghafla ukaondolewa kazini? Unafanyaje kama ukipata tatizo kipindi ambacho unasubiria fedha zako? Mazoea ya kuwa na chanzo kimoja cha fedha hayampi nafasi mtu kujiimarisha kiuchumi na ndiyo maana wengi huendelea kubaki katika hatua moja kimaisha.

 

Changamoto nyingine inayopelekea wengi kuwa maskini japokuwa wanafanya shughuli za kiuchumi ni uelewa mdogo katika masuala ya uwekezaji. Watu wengi bado hawaelewi faida za kuwekeza. Hali hiyo inapelekea wao kutumia fedha zao katika matumizi mengine ambayo hayafungui milango kifedha. Ni muhimu kuanza kuwekeza katika shughuli ndogondogo ili kujenga daraja lingine linaloweza kukuingizia kipato ambacho kitasaidia kufanikisha shughuli nyingine za maendeleo.

 

ADVERTISEMENT

Gharama za maisha nazo zinazidi kupanda juu. Hali hivi sasa hapa nchini inamlazimu mtu kutumia kiasi kikubwa cha fedha katika mahitaji mbalimbali ya kila siku. Hakuna anayeweza kufanya kazi vizuri bila kuwa na afya njema. Afya njema inahitaji lishe bora na hizi zote ni gharama ambazo haziwezi kuepukika. Kuna gharama nyingine kama ada za shule pamoja na kodi za nyumba ambazo kwa kawaida zinakuwa juu hivyo huchukua asilimia kubwa ya kipato cha mtu. Kutumia kiasi kikubwa cha fedha kunapelekea mtu kubakia na akiba ndogo tu, fedha ambayo anashindwa kufanyia mambo mengine ya msingi ili kujiendeleza kiuchumi.

 

Ili kukua kiuchumi na kuweza kujiletea maendeleo ni vizuri kupanga bajeti yako vizuri hata kama unachoingiza ni kidogo tu. Ni muhimu kuwa na akiba ambayo itakusaidia baadae. Pia tujenge mazoea ya kuwekeza hicho kidogo tulichonacho. Ni wakati wa kuachana na dhana ya kwamba matajiri pekee ndio wawekezaji. Ni vizuri kufanyia kazi malengo yako bila kukata tamaa mpaka ufikie pale ambapo unataka. Jiwekee malengo na amua kuwa unataka kubadilisha maisha yako.

Tags: ajirafedhauwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Makandarasi wanaozembea kuchukuliwa hatua

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In