• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

SIFA TANO ZA MJASILIAMALI BORA

Jensen Kato by Jensen Kato
May 29, 2020
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kila mtu ana ndoto ya kumiliki biashara au mradi wake mwenyewe na kuwa mjasiriamali lakini jambo hili sio rahisi kama wengi tunavyofikiria. Mjasiriamali anatakiwa kuwa sifa fulani ili aweze kufikia malengo yake na kufanikiwa katika safari yake ya ujasiriamali.

Hizi hapa ni sifa tano za mjasiriamali bora

Ujasiri

Hii ni moja kati ya sifa muhimu zaidi kwa mjasirimali kwani ujasiri ni nguzo ya mafanikio. Ujasiriamali unahitaji ujasiri mkubwa wa kuchukua maamuzi magumu pale ambapo mambo hayaendi kama ulivyopanga. Ikiwa huna ujasiri wa kutosha, ni vigumu sana kuwekeza fedha na muda katika biashara yako.

ADVERTISEMENT

Malengo

Malengo yatakuwezesha kufanikisha jambo lolote. Kuwa na malengo ni sifa muhimu ambayo kila mjasiriamali anapaswa kuwa nayo. Malengo yatakuongoza ufanye nini, wapi, lini na kwa ajili ya nini. Bila malengo utafanya mambo bila kuwa na muongozo maalum na itakuwa ngumu zaidi kufanikiwa.

Ubunifu

Ubunifu ni kitu pekee kinachomtofautisha mjasiriamali mmoja na mwingine. Unahitaji kuwa mbunifu ili kuja na wazo la pekee ambalo litakupa matokeo mazuri na kutimiza malengo uliyonayo. Wajasiriamali wengi wanakwama kwa sababu wanakosa ubunifu hivyo wanaishia kufanya kitu ambacho kila mtu tayari anafanya hivyo kushindwa kujitofautisha sokoni.

Kuishi vizuri na watu

ADVERTISEMENT

Kila mjasiriamali anahitaji watu wengine ili kufanikisha malengo yake. Kuishi na watu vizuri ni sifa muhimu kwani inamjengea mjasiriamali soko na nguvu kazi bora. Kama mjasiiamali, hakuna haja ya kudharau watu wanaokuzunguka bila sababu za msingi. Usijenge chuki kati yako na watu wengine kwani watu hao ndio chanzo cha mafanikio.

Kujifunza

Makosa ni shule muhimu kwa kila mtu, ndivyo ilivyo pia kwa mjasiriamali. Kila mjasiriamali anatakiwa kupenda kujifunza kutokana na makosa ili aweze kuyaepuka mbeleni. Changamoto zipo kila mahali hivyo unapokosea, kuwa na moyo wa kujifunza na sio kukata tamaa. Jifunze kutokana na makosa, kupitia wateja wakp na vilevile kutoka kwa wajasiriamali wengine.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

Unachotakiwa kufanya kukuza mtandao wako

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In