• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wajasiriamali waongezewa muda maonyesho ya chakula

Patricia Richard by Patricia Richard
October 19, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi. (Picha: Peter Bennett)

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi. (Picha: Peter Bennett)

Share on FacebookShare on Twitter

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ameongeza muda wa siku mbili kuendelea maonyesho ya siku ya chakula kwa lengo la kutoa fursa kwa wajasiriamali kujifunza mbinu mbalimbali za uzalishaji huku akisisitiza umuhimu mkubwa wa maonyesho hayo katika kuchangia maendeleo ya kazi za wajasiriamali. Akizungumza katika hafla ya kufunga maonyesho hayo wilayani Wete, Balozi Seif amesema kuwa kuongeza siku za maonyesho hayo kutaongeza wigo kwa wananchi kujifunza taaluma za uzalishaji bidhaa bora.

“Maonyesho haya yataendelea hadi jumamosi hivyo ni vyema wananchi kuitumia fursa hii kutembelea maonyesho haya ili wapate mbinu mpya ya uzalishaji”. Amesema Makamu huyo wa Rais.

Pamoja na hayo, Balozi Seif pia ameagiza Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kuweka nguvu kubwa na kuimarisha kitengo cha kutafiti mazao ili kitumike kuelimisha wananchi na kitimiza azma ya serikali ya kukabiliana na tatizo la njaa.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Naibu Waziri kutoka Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Dk Makame Ali Ussi amesema maonyesho yamefungua milango kwa wajasiriamali kwani mbali na kuwaelimisha, yamewahamisisha kupata mbinu mpya ambazo zitawasaidia kuongeza uzalishaji.

“Hii ni fursa ambayo imewawezesha wajasiriamali kupata mbinu mpya za kuzalisha hivyo ni imani yangu kwamba elimu iliyotolewa kwa wajasiriamali itaongeza uzalishaji”. Amesema Dk. Ussi.

Tags: elimumaendeleouzalishajiwajasiriamalizanzibar
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Augustine Mahiga

Sera ya diplomasia ya uchumi inavyoleta mageuzi ya uwekezaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In