• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wajasiriamali Zanzibar kuunganishwa nje

Balozi Ali amesisitiza kuwa serikali kupitia wizara hiyo itahakikisha bidhaa kutoka Zanzibar zinavuta soko la ndani na kimataifa na kutoa wito kwa wajasiriamali kutumia vizuri matamasha na maonyesho ya kibiashara kujitangaza

Patricia Richard by Patricia Richard
November 7, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali.

Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali ameahidi kuwa serikali itawaunganisha wajasiriamali kutoka taasisi ya “Mwanamke Chakarika” na taasisi nyingine za nje ili wajasiriamali hao waweze kujifunza maarifa mapya na kuwa wabunifu zaidi katika biashara na kukidhi viwango vinavyokubalika kimataifa. Balozi Ali amesisitiza kuwa serikali kupitia wizara hiyo itahakikisha bidhaa kutoka Zanzibar zinavuta soko la ndani na kimataifa na kutoa wito kwa wajasiriamali kutumia vizuri matamasha na maonyesho ya kibiashara kujitangaza kwani ni njia mojawapo ya kuwafikia wateja.

“Masoko yanatafutwa kwa njia na mbinu mbalimbali, Wizara yangu imepata jengo ndani ya Mji Mkongwe ambalo tutalitumia kuonyesha bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wetu ili kukuza uwezo wao wa uzalishaji na kuwapatia soko la bidhaa zao”. Amesema Waziri huyo.

ADVERTISEMENT

Vilevile, Balozi Ali ametumia fursa hiyo kuwashauri vijana kubadilika na kuanza kutumia maarifa na ujuzi walionao kujiajiri katika sekta mbalimbali ili kupambana na changamoto ya ajira badala ya kusubiri ajira kutoka serikalini.

Kwa upande wake, Katibu wa taasisi ya Mwanamke Chakarika amesema wameandaa kongamano hilo kwa lengo la kutoa hamasa kwa wanawake na vijana kujiajiri wenyewe badala ya kupoteza muda wakisubiri ajira ambazo hutoka kwa uchache.

Tags: Balozi Amina Salum Alibiasharasokouzalishajivijanawanawakezanzibar
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora Gift Msuya.

DC ahamasisha uwekezaji Uyui

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In