• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

ZEDO yawapa somo wajasiriamali

Patricia Richard by Patricia Richard
October 2, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Afisa wa Bunge Francis John Songoro ametoa wito kwa wajasiriamali nchini kutumia elimu wanayopewa kuzalisha bidhaa bora zitakazoweza kukabiliana na ushindani wa kimataifa. Songoro amesema hayo katika ufunguzi wa semina kwa wajasiriamali iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mfuko wa Tanzania (ZEDO) Ussi Suleiman ambapo alimuwakilisha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe.

Afisa huyo ameeleza kuwa elimu ya ujasiriamali ikitumika ipasavyo, bidhaa zinazozalishwa nchini zitaweza kuuzwa katika soko la kimataifa na kuwashauri wajasiriamali kujikita zaidi kwenye kubuni mradi wa kuanza biashara.

“Tunatakiwa kuzalisha bidhaa bora zenye ushindani wa kimataifa, kupitia elimu hii itatusaidia kuzalisha vitu vizuri zaidi ya vile tulivyokuwa tunazalisha awali”. Amesema Songoro.

Akigusia suala la mikopo, Songolo amewataka wajasiramali kutumia vizuri mikopo yao ili waweze kuwa na uchumi wa kujitegemea badala ya kutumia mikopo hiyo kwenye matumizi yasiyotengeneza faida.

“Wapo baadhi wanakopa fedha badala ya kuzitumia fedha hiyo kwa malengo aliyokuwa ameyakusudia hafanyi hivyo badala yake anazipeleka kwenye vitu ambavyo hata siku moja haviwezi kukuza uchumi wake”. Amesisitiza Afisa huyo.

ADVERTISEMENT

Naye Mwenyekiti wa ZEDO na Mkurugenzi Mfuko wa mikopo Tanzania, Ussi Saidi Suleiman amesema wametoa mafunzo hayo ili kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa ambazo zitaendana na soko la kimataifa.

“Katika mafunzo haya tumelenga kuwafundisha zaidi wajasiriamali kujua namna ya kubuni bidhaa ama biashara na pia tunatoa elimu ya ufugaji chura, mende pamoja na uchumi wa kijani”. Amesema Suleiman.

Tags: biasharaelimuSoko la kimataifauchumiZEDO
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

NMB kusaidia kilimo cha michikichi

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In