• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, March 31, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dk. Tizeba aimwagia sifa MVIWATA

Patricia Richard by Patricia Richard
October 4, 2018
in KILIMO
0
Waziri wa Kilimo,Dk. Charles Tizeba.

Waziri wa Kilimo,Dk. Charles Tizeba.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba ametoa pongezi kwa Mtandao wa vikundi vya wakulima Tanzania (MVIWATA) kwa kuwa dira na muungano ulio na sauti moja yenye mshikamano, na hivyo kuwezesha mafanikio makubwa kwa wakulima nchini. Dk. Tizeba ameeleza kuwa, kwa kipindi cha miaka 25, MVIWATA imedhihirisha kuwa mtandao wenye lengo la kuwaunganisha wakulima wadogo kwa kutetea maslahi yao na kujenga mikakati ya pamoja itakayowasaidia kujikwamua kiutamaduni, kijamii na kiuchumi.

Waziri huyo ametoa pongezi hizo wakati akitoa salamu za wizara yake mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo. Mbali na hayo, Waziri Tizeba ametoa wito kwa mtandao huo kusimamia maslahi ya wakulima nchini kwa kuwa wahusika wakuu na wamiliki wa mfumo wa uzalishaji na kuwa sehemu ya mfumo wa maamuzi ya masuala yanayohusu wakulima wadogo hasa mfumo wa uzalishaji na rasilimali ardhi.

ADVERTISEMENT

Vilevile, Dk. Tizeba amewaambia wanachama zaidi ya 2,000 walioshiriki katika kongamano hilo kuwa, wakulima wanatakiwa kueleza changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwa ni pamoja na kuzitafutia suluhisho la haraka.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa MVIWATA Stephen Ruvuga amepongeza serikali katika jitihada zake za kujenga uchumi wa taifa katika kuimarisha sekta ya kilimo nchini na kuongeza kuwa inapaswa kuongeza msisitizo katika kusimamia matumizi ya fedha za umma na kuongeza ukusanyaji wa mapato. Mkurugenzi huyo pia amesema japokuwa serikali imekuwa mstari wa mbele kuimarisha sekta ya kilimo, bado kuna changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima ikiwemo mitaji, soko la uhakika na migogoro ya ardhi.

Tags: Dk. Charles TizebaKassim MajaliwaMviwatauchumiuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa TPSF Godfrey Simbeye (kushoto).

Kitengo cha uwekezaji kuanzishwa Dar es salaam

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

March 31, 2023

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

by Pesatu Reporter
March 31, 2023
0

Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es Salaam...

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In