• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Neema Yawashukia Wakulima Songea

Ni baada ya ziara ya waziri mkuu Kassim Majaliwa mkoani humo wakati akikagua miradi ya maendeleo.

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
January 4, 2019
in KILIMO, KILIMO BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Vicheko,nderemo na vifijo vimetawala vinywani mwa wakulima waliopo halmashauri ya songea mkoani Ruvuma baada ya Waziri Mkuu wa Tanzania,Kassim Majaliwa kufungua mradi wa kuhifadhia nafaka pamoja na soko la mazao la OTC-lilambo.

Soko hilo lililofunguliwa January 3 ambayo ni siku ya pili kati ya nne za ziara ya waziri mkuu mkoani humo yenye lengo la kukagua shughuli za maendeleo limegharimu kiasi cha shilingi 1.5 bilioni ambapo pia maghala mawili yenye uwezo wa kuhifadhi tani 5000 za nafaka yalizinduliwa.

Kwa mujibu wa taarifa ya waziri mkuu kwa vyombo vya habari imeelezea waziri ameridhishwa na viwango vya ujenzi wa soko hilo pamoja na maghala huku akifafanua kuwa licha ya kuuza na kuhifadhi mazao pia wakulima watapata mafunzo namna ya kudhibiti wadudu na kuhifadhi mazao yao pamoja na taarifa za soko.

ADVERTISEMENT

Mbali na wakulima pia majaliwa aliwaagiza bodi ya soko hilo kuhakikisha wanalitangaza katika vyombo vya habari ili wakulima wawe wanapeleka mazao yao sokoni hapo.

 

Waziri mkuu amekua katika ziara ya mbalimbali ndani ya nchi zenye lengo la kukagua miradi ya maendeleo ambapo katika ziara hiyo aliambatana na waziri wa kilimo Japhet Hasunga na Waziri wan chi,Ofisi ya waziri mkuu sera,bunge,kazi,vijana,ajira na wenye ulemavu Jenista Mhagama,mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme na Waziri wa mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk Damas Ndumbaro.

Tags: chakulakilimomazaoNafakaRuvumasokosongea
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiongea na wakulima.

Rc mwanri alia na walanguzi wa pembejeo

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In