• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, November 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TADB,NIRC kuboresha miundombinu ya umwagiliaji

Patricia Richard by Patricia Richard
September 26, 2018
in KILIMO
0
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Japhet Justine (kushoto) akizungumza wakati wa kutia saini makubaliano hayo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Japhet Justine (kushoto) akizungumza wakati wa kutia saini makubaliano hayo.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) pamoja na Tume ya Taifa  ya Umwagiliaji (NIRC) wameingia mkataba wa kuboresha vyanzo na miundombinu ya umwagiliaji nchini. Akiwa katika utiaji saini wa makubaliano hayo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB Japhet Justine amesema lengo kubwa la makubaliano hayo ni kuiwezesha NIRC kuendeleza vyanzo mbalimbali vya maji ili kuwasaidia wakulima na katika kufanya hivyo kuboresha sekta ya kilimo kwa ujumla.

Justine ameeleza kuwa hadi sasa, TADB imefanikiwa kuwezesha miradi tisa ya umwagiliaji huku mingine mine ikiwa katika hatua ya uchambuzi kabla ya kupata ufadhili. Kaimu huyo amesisitiza kuwa miradi ya umwagiliaji ina mchango mkubwa katika sekta ya kilimo kwani ni fursa mojawapo kwa wakulima kupiga hatua na kuongeza uzalishaji wa mazao pamoja na thamani ya kilimo.

ADVERTISEMENT

“Maji yakiwapo ya kutosha yatamsaidia mkulima kuendesha shughuli zake za kilimo na kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali. Kama ilivyo kwa binadamu na mimea nayo hivyo hivyo”. Amesema Justine.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa NIRC Dk. Eliakim Chitutu mbali na kuishukuru benki hiyo pia ameeleza kuwa tume hiyo imejipanga kuimarisha miundombinu ya umwagiliaji na kuikamilisha ndani ya miaka 17. Mkurugenzi huyo pia ametumia nafasi hiyo kutoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika umwagiliaji ili kusaidia wakulima kufanya shughuli zao kwa tija zaidi na hivyo kuinua kilimo nchini.

Tags: benkimiundombinuNIRCTADBumwagiliajiuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Tehama Tanzania (ICT) Samson Mwela akizungumza na waandishi wa habari.

Tume ya Tehama yasaka wawekezaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In