• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, March 31, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TADB,NIRC kuboresha miundombinu ya umwagiliaji

Patricia Richard by Patricia Richard
September 26, 2018
in KILIMO
0
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Japhet Justine (kushoto) akizungumza wakati wa kutia saini makubaliano hayo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Japhet Justine (kushoto) akizungumza wakati wa kutia saini makubaliano hayo.

Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) pamoja na Tume ya Taifa  ya Umwagiliaji (NIRC) wameingia mkataba wa kuboresha vyanzo na miundombinu ya umwagiliaji nchini. Akiwa katika utiaji saini wa makubaliano hayo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB Japhet Justine amesema lengo kubwa la makubaliano hayo ni kuiwezesha NIRC kuendeleza vyanzo mbalimbali vya maji ili kuwasaidia wakulima na katika kufanya hivyo kuboresha sekta ya kilimo kwa ujumla.

Justine ameeleza kuwa hadi sasa, TADB imefanikiwa kuwezesha miradi tisa ya umwagiliaji huku mingine mine ikiwa katika hatua ya uchambuzi kabla ya kupata ufadhili. Kaimu huyo amesisitiza kuwa miradi ya umwagiliaji ina mchango mkubwa katika sekta ya kilimo kwani ni fursa mojawapo kwa wakulima kupiga hatua na kuongeza uzalishaji wa mazao pamoja na thamani ya kilimo.

ADVERTISEMENT

“Maji yakiwapo ya kutosha yatamsaidia mkulima kuendesha shughuli zake za kilimo na kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali. Kama ilivyo kwa binadamu na mimea nayo hivyo hivyo”. Amesema Justine.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa NIRC Dk. Eliakim Chitutu mbali na kuishukuru benki hiyo pia ameeleza kuwa tume hiyo imejipanga kuimarisha miundombinu ya umwagiliaji na kuikamilisha ndani ya miaka 17. Mkurugenzi huyo pia ametumia nafasi hiyo kutoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika umwagiliaji ili kusaidia wakulima kufanya shughuli zao kwa tija zaidi na hivyo kuinua kilimo nchini.

Tags: benkimiundombinuNIRCTADBumwagiliajiuzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Tehama Tanzania (ICT) Samson Mwela akizungumza na waandishi wa habari.

Tume ya Tehama yasaka wawekezaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

March 31, 2023

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

by Pesatu Reporter
March 31, 2023
0

Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es Salaam...

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In