• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Waficha karafuu watahadharishwa

Patricia Richard by Patricia Richard
September 5, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Zanzibar Balozi Amina Salim Ali ameahidi kutowafumbia macho wakulima wote walioficha karafuu badala ya kuzipeleka katika Shirika la Biashara la Taifa (ZSTC) kwa ajili ya mauzo kama utaratibu unavyowataka. Balozi Amina Ali ameyasema hayo alipokutana na viongozi pamoja na wananchi katika hafla ya uzinduzi wa uchumaji karafuu msimu wa 2018/19 iliyofanyika visiwani Zanzibar.

Balozi Amina amesema anafahamu wazi kuwa wakulima wengi wamehifadhi karafuu majumbani badala ya kuliuzia shirika hilo huku akidai kuwa, kufanya hivyo ni kurudisha nyuma maendeleo ya taifa kwa kuwa serikali ipo tayari kushirikiana na wakulima na kutatua changamoto zinazowakabili.

“Ni matarajio ya serikali kuwa wote walioweka karafuu nyumbani wataziuza kwa kuwa kuziweka ni makosa ila kwa kuwa tunawajali wakulima wetu tunawasamehe tu”. Amesema Balozi Amina.

Alisema serikali imejipanga kuwapatia wananchi vifaa bora vya kuvunia karafuu yakiwemo majamvi na magunia sambamba na kuhakikisha asilimia 80 ya anayopata mkulima kwa kuuza karafuu kwa ZSTC zinatolewa kama kawaida na kuhakikisha kuwa kunakuwepo na mtiririko mzuri wa ununuzi wa zao hilo.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba, Hemed Suleiman Abdallah amewataka wananchi kuacha kuuza karafuu kwa njia ya magendo akisisitiza karafuu inayouzwa nje huchangia ujenzi na uendelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo visiwani humo.

 

Tags: KarafuuzanzibarZSTC
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Majaliwa ataka changamoto kilimo zitatuliwe

Majaliwa akaribisha wawekezaji kutoka China

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In