• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima wapigwa ‘stop’ kuuza kahawa ghafi

Wakulima hawatoruhusiwa kuuza kahawa zenye maganda (kahawa ghafi) kutokana na kwamba kufanya hivyo kunashusha thamani na ubora wa zao hilo, hali inayopelekea kahawa ya hapa nchini kushuka thamani katika soko la dunia.

Patricia Richard by Patricia Richard
October 25, 2018
in KILIMO
0
USDF yawapa tumaini wakulima kahawa
Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kahawa Nchini (TACRI), Dk. Deusdedit Kilambo amesema kuanzia hivi sasa, kahawa wakulima hawatoruhusiwa kuuza kahawa zenye maganda (kahawa ghafi) kutokana na kwamba kufanya hivyo kunashusha thamani na ubora wa zao hilo, hali inayopelekea kahawa ya hapa nchini kushuka thamani katika soko la dunia. Dk. Kilambo amesema hayo wakati akizungumza katika ziara ya maofisa wa kijeshi kutoka nchi mbalimbali za Afrika waliopo kwa jili ya mafunzo katika Chuo cha kijeshi cha Duluti mkoani Arusha.

“Kukosekana kwa bei katika soko la dunia kwa kahawa yetu kunatokana na wakulima sisi wenyewe. Tupo katika harakati za kuiongeza thamani kahawa yetu…itakuwa ni jambo la aibu kama serikali ikiendelea kuwaacha watu kuuza zao hilo bila kukobolewa kitaalamu kwa kufanya hivyo ni kuipunguza thamani na ubora na bei kushuka”. Ameeleza Dk. Kilambo.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Mkuu wa Chuo cha Ukamanda na Unidhamu cha Duluti, Brigedia Jenerali Ibrahimu Mhona amesema wanalenga kujifunza kwa vitendo yale waliyosoma darasani hususani teknolojia katika kukuza uchumi wa kati na wa viwanda na kuongeza kuwa wapo tayari kutekeleza sera ya kukuza uchumi na viwanda kwa vitendo utakaosaidia watanzania wengi kuajiriwa na kujiajiri ili kutokomeza changamoto ya ajira.

“Tumefika kwenye taasisi hii tumejionea mengi..tumejifunza mengi..lakini kubwa tumeelezwa jinsi ambavyo zao la kahawa linavyoweza kukuza pato la taifa pamoja na njia gani bora za kulima ili kufikia azma hiyo..tumepokea na tutakuwa waelimishaji kwa vitendo”. Amesema Brigedia huyo.

Tags: kahawaPato la taifaSoko la duniaTACRITeknolojiaUchumi wa viwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa feki waonywa

Discussion about this post

Habari Mpya

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewasihi mashabiki wa Simba wamtie nguvu Mwekezaji Mohammed Dewji (Mo Dewji) kwa...

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In