• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Hongera Rais Samia

Miaka 62 ya Rais Samia Suluhu

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
January 27, 2022
in MAHOJIANO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Leo Januari 27, 2022 ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Watu mbalimbali, taasisi zilizo za serikali na za binafsi wamemtakia kheri Rais Samia. Ama kwa hakika salamu katika siku yake hii muhimu sio haba.

ADVERTISEMENT

Rais Samia leo ametimiza umri wa miaka 62, amesema yeye ni mtoto wa tatu kwenye familia ya watoto 15 lakini mama wawili. Baba yake akiwa ni mwalimu na mama zake wawili wakiwa ni mama wa nyumbani wakifanya biashara ndogo ndogo.

Akieleza kuhusu makuzi yake pamoja na elimu Rais anasema “niseme kwamba kuanzia darasa la awali mpaka nimefika kidato cha nne nimesoma shule kama kumi hivi, na hiyo ni kwasababu baba yangu alikuwa mwalimu, kwahiyo alikuwa anahamishwa vituo vingi vingi vya kazi, kwahiyo kila akihamishwa na mimi nipo nyuma.

Nikiwa na miaka minane tisa ivi niliishi na dada yangu ambae yeye alikuwa ni muuguzi na wakati ule walikuwa wanapangwa vijijini na alikuwa peke yake akasema ngoja niende na mdogo wangu kwahiyo nikaanza kuishi nayeye kwa miaka kadhaa. Kutoka hapo mpaka nimekuwa mkubwa nilikuwa mikononi kwake, kwa hiyo nimezunguka kiasi Fulani. Ukienda kwenye visiwa vya Zanzibar Unguja na Pemba mimi ni mwenyeji sana.”

Kwa sasa Rais Samia ana Shahada ya Uzamili (Masters Degree), anasema “nilijaribu labda kufanya PhD ukweli ni kwamba pilika ni nyingi na nimeshindwa, sijui niseme nimeshindwa au ntaimalizia baadae sijui labda ntaimalizia baadae.”

Akielezea maisha yake ya kazi, Rais ameeleza kuwa alifanya kazi serikalini kwa miaka kadhaa na baada ya hapo alifanya kazi na mashirika mengine mbalimbali ya kimataifa kabla ya kurudi serikalini.

Kuhusu siasa amesema mwaka 2000 ndio alipata mawazo ya kuingia kwenye siasa.

Leo Rais samia pia alieleza anachofanya anapokuwa amechoshwa na majukumu na kusema

“ukiona kichwa kimejaa zaidi tiba yangu ni wajukuu, napiga tuu simu nileteeni hao, wanakuja pale kwa masaa kadhaa hasa nikiwa Dar es Salaam, kwa masaa kadhaa piga kelele panda shuka pigishwa mbio kwenye ngazi wakirudi wanapokaa basi ubongo umepumzika.

Taarabu kidogoo, eeeh hio ndo sana, hata nikiwa nadeal na mafaili apo pembeni icho kitu kipo, kazi na dawa.”

Katika kusheherekea siku hii muhimu amewataka watanzania kufanya kazi kwa bidii.

“Tutakaoijenga hii nchi ni sisi Watanzania na tutakaoibomoa ni sisi Watanzania, nchi haijengwi na mtu mmoja, inajengwa na kila mmoja wetu kwenye mchango wake,” amesema Rais Samia.

Tags: biashararais wa tanzaniaSamiauchumi
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

TANESCO yatangaza mgao wa umeme

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In