• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kipanya na ndoto ya miaka tisa

Gari la kwanza la umeme lazinduliwa Tanzania

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
April 4, 2022
in MAHOJIANO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mtangazaji ambae pia ni mchoraji katuni wa Tanzania Masoud Kipanya amesema tangu mwaka 2013 alikuwa na ndoto za kutengeneza gari.

Kipanya amesema hayo baada ya kuzindua gari lake la kwanza la umeme kutengenezwa nchini Tanzania April 02, 2022.

Kipanya, amesema gari hilo la umeme ni wazo lake binafsi la ubunifu ambalo lilimchukua miezi 11 kukamilika.

Gari hilo linaloitwa Kaypee Motor ni rafiki kwa mazingira kwa sababu halitumii nishati ya mafuta badala yake linachajiwa kwa saa sita kabla ya kutumika.

“Hili ni gari la nguvu sana ambalo ukinunua unapata na chaji yake,” alisema Kipanya.

Katika mahojiano na kituo cha habari cha Clouds Kipanya amesema “tangu mwaka 2013 nilikuwa na ndoto ya kutengeneza gari na miaka yote nilikuwa naijenga na kuibomoa na ilifika wakati nikawa nataka kiwanda kiwe Bagamoyo na nikapata sehemu nikajenga na ilivyokamilika nyumba nikagundua hii ni nyumba ya kuishi zaidi hapatoshi.

Nikapata eneo jingine na baada ya kujenga msingi nikagundua panahitaji hela nyingi kwa ajili ya kupatengeneza ikabidi nipaache.

Mwaka 2019 nilikutana na Mr Maganga kutoka Sido na akanipa maelezo nikaandika barua ya kutaka eneo na nikapata eneo kama ningekuwa nimelipata kwa mtu binafsi basi ningekuwa nimelipa hela nyingi sana hivyo nilivyopata eneo baada ya kumaliza kulikarabati Corona ikawa imeingia ikabidi niache kwanza ipite ndiyo nirudi tena kuanza kupambania ndoto yangu”.

ADVERTISEMENT

Kuhusu kipaji hicho Kipanya amesema “mimi napenda kutengeneza nikiona boti njaa yangu sio kuimiliki bali najiuliza hawa wametengenezaje maana ni binadamu kama sisi na wao wamezaliwa na toka nipo mdogo napenda kutengeneza vitu na hata nikiona nyumba nzuri huwa nawaza imejengwaje na huku ninapoelekea nakwenda kuanzisha kampuni ya Real estate kuanza kuzi- design na kuzijenga mwenyewe”.

Uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Dar es Salaam Serena na kuhudhuriwa na baadhi ya wafanyabiashara nchini.

Tags: biasharaTanzaniaubunifu
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Tubebe sekta ya kilimo: Rais Samia

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In