• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vodacom Foundation yatoa elimu ya afya kwa vijana

Athanas Lupatu by Athanas Lupatu
November 14, 2018
in Uncategorized
0
Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald (katikati )  akiwa pamoja na wanafunzi  wa shule ya sekondari  Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam, wakielekezwa  na  mtaalam wa ubunifu wa kazi za mikono Flora  Richard   jinsi ya kutengeneza bangiri za batiki wakati wa Tamasha la Kuwa Mjanja  ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya Afya  iliyoandaliwa na PSI  kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation.

Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald (katikati ) akiwa pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam, wakielekezwa na mtaalam wa ubunifu wa kazi za mikono Flora Richard jinsi ya kutengeneza bangiri za batiki wakati wa Tamasha la Kuwa Mjanja ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya Afya iliyoandaliwa na PSI kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation.

Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Vodacom Foundation kushirikiana na PSI, wamafanya tamasha liitwalo ‘Kuwa Mjanja’ lililolenga vijana kupata elimu ya Afya.

Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald (katikati ) akiwa pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam, wakielekezwa na mtaalam wa ubunifu wa kazi za mikono Flora Richard jinsi ya kutengeneza bangiri za batiki wakati wa Tamasha la Kuwa Mjanja ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya Afya iliyoandaliwa na PSI kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation.
Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald (watatu kushoto) akionyeshwa na Meneja miradi wa PSI Tanzania, Dkt. Anna Temba (wa pili kulia) ujumbe maalumu kwenye Tablet ambayo ni maalumu kwa ajili ya kufundishia elimu ya Afya kwa vijana wakati wa tamasha la Kuwa Mjanja lililofanyika katika shule ya Sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya Afya lililoandaliwa na PSI kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation. Kutoka kushoto ni mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Goba Magreth Richard, Agnes John, Mhamasishaji wa Vijana PSI Semeni Likulo na Pendo Raphael (kulia)
Baadhi ya Wanafunzi wa shule ya sekondari Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam, wakijifunza elimu ya ujasiriamali wa kazi za mikono pamoja na Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald ( Kulia) wakati wa tamasha la Kuwa Mjanja ambalo ni maalumu kwa ajili ya vijana kupata elimu ya Afya, elimu ya ujasiriamali iliyoandaliwa na PSI kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania Foundation. Tamasha hilo lilifanyika katika Viwanja vya shule ya msingi Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam.
Tags: Dr. Anna TembaPSI TanzaniaSandra OswaldVodacom Foundation
Athanas Lupatu

Athanas Lupatu

Next Post
Dk. Mpango amaliza utata ripoti IMF

Sina taarifa yoyote ya kusitishwa mikopo Tanzania-Dk. Mpango

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In