• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kakunda atumbua wawili kwa uzembe

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph George Kakunda ametengua ukurugenzi wakurugenzi wawili waliokuwa wakisimamia viwanda na maghala katika wizara hiyo.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 15, 2018
in VIWANDA
0
Biashara yapamba moto EAC

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph George Kakunda.

Share on FacebookShare on Twitter

Kufuatia uzembe uliopelekea kudorora kwa viwanda vya korosho hapa nchini. Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph George Kakunda ametengua ukurugenzi wakurugenzi wawili waliokuwa wakisimamia viwanda na maghala katika wizara hiyo. Waziri Kakunda ameeleza kuwa baada ya kutembelea viwanda hivyo vilivyopo mkoani Lindi hadi Mtwara, amekutana na hali mbaya huku viwanda vingi vikiwa vimegeuzwa kuwa maghala.

“Nimeamua kumpunguzia majukumu ndugu Isaac Legonda, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Viwanda, ataripoti kwa Katibu Mkuu atapangiwa kazi nyingine ya uofisa. Nimemtafuta tangu juzi ili aweze kunipa habari za viwanda hayupo ofisini, Katibu Mkuu hana taarifa za kutosha huyu mtu yuko wapi. Katibu Mkuu atajua mwenyewe hatua zinazotumika katika kanuni za adhabu za utumishi”. Amesema Waziri Kakunda.

ADVERTISEMENT

Mkurugenzi mwingine aliyevuliwa wadhifa wake ni Augustino Mbulumi aliyekuwa Mkurugenzi wa usimamizi wa maghala. Waziri huyo mpya wa viwanda amesema ametengua uteuzi wa Mbulumi kufuatia utendaji kazi hafifu na uzembe.

“Atateuliwa Mkurugenzi mwingine ambaye atakuwa tayari kuwajibika vizuri zaidi. Hatuwezi kuwa na watu ambao hawaendi na kasi ya Mheshimiwa Rais”. Ameeleza Waziri Kakunda.

Tags: Joseph George KakundakorosholindiMtwaraviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Wakulima walilia mikopo

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In