• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Tanzania kushirikiana na wadau kuleta maendeleo

“Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuwaletea maendeleo watanzania"

Patricia Richard by Patricia Richard
December 21, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli

Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli

Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli amesema Tanzania ipo tayari kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo katika kutekeleza ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo barabara na madaraja, hatua ambayo inalenga kuboresha maisha ya watanzania. Rais Magufuli amesema hayo wakati akiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa daraja jipya la Salender na kuongeza kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau  wa maendeleo kwa manufaa ya watanzania.

“Tanzania itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuwaletea maendeleo watanzania sambamba na kuhakikisha malengo na matumaini ya watanzania ya kuleta maendeleo tunayafikia kikamilifu”. Amesema Rais Magufuli

Wakati huo huo, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale ameeleza kuwa daraja hilo litagharimu Dola za kimarekani 112.8 milioni na litajengwa kwa fedha za mkopo nafuu kutoka nchini Korea Kusini pamoja na fedha za ndani. Kwa mujibu wa Mhandisi Mfugale, Korea Kusini itachangia Dola za kimarekani 91.03 milioni na Tanzania itachangia Dola za kimarekani 21.822 milioni.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Balozi wa Japan nchini Cho Tae-ick amesema kuwa nchi ya Korea Kusini inafurahishwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali ya Tanzania katika kuleta maendeleo

“Serikali ya Korea ya Kusini inaangalia kwa makini fursa zilizopo Tanzania ikiwa ni nchi yenye uchumi unaokuwa kwa asilimia 7 na yenye sera kuelekea nchi ya viwanda, na hivyo serikali Korea ya Kusini ina  nia ya dhati ya kushirikiana na serikali ya Tanzania katika kuleta maendeleo”. Amesema Balozi huyo.

Tags: korea kusinimaendeleoMagufulimkopoTanroadsujenzi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

China yatangaza soko

Discussion about this post

Habari Mpya

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In