• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TFS kuinua wazalishaji wa asali

Patricia Richard by Patricia Richard
August 20, 2018
in UZALISHAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Wakati serikali ikichukua hatua kadhaa kuongeza uzalishaji wa asali nchini, Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) kanda ya kaskazini wamekutana na vikundi vya wazalishaji wa mazao yatokanayo na nyuki ikiwa ni katika kutekeleza mpango wake wa kuviwezesha vikundi hivyo kiuchumi kwa kuvipatia nyenzo za uzalishaji huo ikiwa ni pamoja na mizinga ya nyuki pamoja na mavazi maalum ya kurinia asali.

Soma Pia Warina asali walalamikia uharibifu wa mazingira

Akizungumza katika halfa ya ugawaji wa vifaa hivyo kwa vikundi vya uzalishaji wa bidhaa za nyuki zikiwemo kikundi cha Sifa Environmental Group, Meneja wa TFS Wilaya ya Hai Evaline Mboya amesema kuwa licha ya Tanzania kushika nafasi ya pili Afrika kwa uzalishaji wa asali na nta ikiongozwa na Ethiopia, bado anaamini uwezeshaji huu ulioanzishwa utaweza pia kuwavutia wawekezaji na taasisi binafsi kuona umuhimu wa kuwekeza katika nta na asali.

ADVERTISEMENT

“Wakala anatambua mchango wa vikundi hivi katika utunzaji wa mazingira na ameahidi kuendelea kutoa vifaa hivi kila mwaka ambavyo vitasaidia katika uhifadhi wa mazingira, lakini hii ni fursa kwa wadau wengine kuwekeza katika uzalishai ili kuongeza, sio tu uzalishaji wa nta na asali bali pia ubora wa bidhaa za nyuki zinazokubalika unaokidhi viwango vya soko la kimataifa” . Amesema Mboya

Soma Pia Wajasiriamali Singida kusafirisha asali nje

Kwa upande wake, Afisa Nyuki wa wilaya hiyo Joyce Kombe ametoa shukrani zake kwa Wakala wa Huduma za Misitu baada ya vifaa hivyo kutolewa amewataka wazalishaji hao kutobweteka wakisubiria asali na badala yake, wajaribu kuchunguza mizinga yao mara kwa mara ili kujihakikishia uwepo wa asali ya kutosha.

 

Tags: asalibiasharaTFS
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Dodoma mpya ya viwanda yasifiwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In