• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, May 23, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

CCBRT kuchangisha fedha kwa ajili ya uzazi salama

Kikwete kuwa mgeni rasmi uchangishaji fedha uzazi salama

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
April 29, 2022
in WANAWAKE NA MAENDELEO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Hospitali ya CCBRT kupitia kitengo chake kipya cha afya ya uzazi kwa kushirikiana na Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete wameandaa chakula cha usiku cha hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha zitakazotumika kutoa huduma ya uzazi salama kwenye kitengo hicho.

ADVERTISEMENT

Fedha hizo zitasaidia katika kutatua changamoto zinazowakabili akina mama wajawazito walioko katika mazingira magumu na uzazi hatarishi.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa CCBRT Brenda Msangi amesema “Kitengo hiki kina miundombinu maalum ya kuwahudumia wanawake wajawazito wenye ulemavu, wenye historia ya fistula na mabinti wanaopata ujauzito wakiwa na umri mdogo ili kuhakikisha wanawake wote wanapata huduma ya uzazi salama.
CCBRT kupitia kitengo hiki kina dhamira ya kuunga juhudi za serikali za kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi sambamba na kuzuia ulemavu.”

Mgeni Rasmi katika hafla hiyo itakayofanyika Jumamosi jioni tarehe 7 Mei, 2022, katika hoteli ya Serena Dar es Salaam anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mheshimiwa, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Tags: CCBRTDar es salaamhuduma za afyauzaziWalemavuwanawake
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Processed with VSCOcam with c1 preset

Royal tour Zanzibar

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

May 23, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

May 23, 2022

RC Makalla: Serikali imedhamiria kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara

May 19, 2022

Madereva watakiwa kuzima magari ya serikali

May 17, 2022

Waziri Mkuu apokea taarifa nyongeza ya mishahara

May 11, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

May 10, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeweka mkazo mkubwa katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji kuanzaia mwaka wa fedha...

Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Akiwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In