• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Soko la ajira nchini liwapatie fursa zaidi wanawake

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in WANAWAKE NA MAENDELEO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Tatizo la ajira sio jambo la kushangaza sehemu nyingi duniani. Ni suala ambalo watu wamefikia kuliona kama ni jambo la kawaida tu. Lakini unafahamu kwamba changamoto hii ni kubwa zaidi kwa jinsia ya kike kuliko ile ya kiume? Utafiti uliofanyika kwa mujibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Walemavu kama alivyoeleza Joseph Nganga ambaye ni Mkurugenzi Msaidizi wa Ajira katika ofisi hiyo unaonyesha kuwa, ni wanawake asilimia 11.4 waishiyo mijini wanakumbwa na changamoto ya ajira.

Lakini swali la muhimu la kujiuliza hapa ni, wanawake wanaosoma ni wachache kuliko wanaume? Kwanini wanaume wengi zaidi wanaajiriwa kuliko wanawake? Kwanini soko la ajira halina idadi sawa kati ya jinsia hizi? Tatizo ni nini?

ADVERTISEMENT

Utafiti huo unaonyesha kuwa moja ya sababu kubwa ya wanawake kutoajiriwa ni ujuzi duni. Wanawake wanakuwa na elimu inayokubalika lakini kinachosaidia wanaume katika soko la jira ni kwamba wengi wao wanakuwa na elimu lakini pia na ujuzi hivyo waajiri huwachagua wao mara nyingi.

Katika jiji la Dar es salaam pekee, ukosefu wa ajira kwa wanawake unachukua asilimia 26. Unaweza kujiuliza jiji hili lina wanawake wangapi? Wanafanya nini kupambana na changamoto ya ajira? Wanategemea wanaume kiuchumi? Wanaendeshaje familia? Serikali inachukua hatua gani kuwasaidia?

Wanawake wengi hukimbilia katika ujasiriamali, biashara ndogondogo, kilimo cha mbogamboga na shughuli za kiuchumi katika vikundi ili kujikwamua na kujiondoa na umaskini. Lakini jitihada hizi pekee hazitoshi. Kundi hili linapaswa kupewa motisha na kufanya makubwa zaidi katika jamii. Milango ya ajira inapaswa kuwa wazi kwao ili wapate nafasi ya kufanya makubwa zaidi katika jamii.

Serikali inapaswa kutumia sauti iliyonayo na kuelimisha jamii kuhusiana na changamoto hii. Wanawake nao wasikate tamaa kuhusu ajira, waendelee kujiunga na vyuo vikuu na kufuata ndoto zao. Kama ajira ikishindikana wasiishie kulalamika tu wajiajiri, wawekeze na kujiendeleza kiuchumi. Wala wasikate tamaa na kuvunjika moyo. Wanawake ni kundi muhimu sana katika maendeleo ya jamii kote duniani hivyo wasikubali kuachwa nyuma.

 

Tags: ajirabiasharaelimumaendeleoujasiriamaliwanawake
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Bidhaa za vyakula zashusha mfumuko wa bei

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In