• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, November 28, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TGNP: Unyanyasaji wa wanawake bado sana

Patricia Richard by Patricia Richard
August 25, 2017
in WANAWAKE NA MAENDELEO
0
Share on FacebookShare on Twitter
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Lilian Liundi
Na Mwandishi Wetu

Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia nchini (TGNP) Lilian Liundi amesema hadi sasa, bado wanawake wanakumbwa na changamoto ya unyanyasaji wa kijinsia, akiongeza kuwa Mkoa wa Manyara unaongoza kwa vitendo hivyo. Lilian amesema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa anaongea na waandishi wa habari. Amesisitiza kuwa bado nguvu kubwa inahitajika ili kusaidia wanawake kujitambua na jamii kuachana na mila potofu.

Katika kongamano litakalofanyika Septemba 05 hadi Septemba 08 mwaka huu, TGNP watajikita katika kuelimisha wanawake na watoto wa kike ili wapate elimu na nia ya kujikwamua kiuchumi. Lilian ameongeza kuwa wamepanga kuleta wanawake maarufu ili wengine wajionee kuwa bado nafasi ya kujikwamua ipo, hali itakayopelekea wao kufanya makubwa ndani ya jamii.

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo, elimu ya kufanya maamuzi, uwekezaji na ujenzi wa nguvu ya pamoja itatolewa ili wanawake wapate fursa ya kujikomboa kiuchumi. Kongamano hilo ambalo limeandaliwa na TGNP kwa kushirikiana na taasisi nyingine binafsi litahudhuriwa na watu takribani 1,000 kutoka mikoa mbalimbali pamoja na viongozi wa serikalini.

Tags: TGNPwanawake
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Halmashauri Dar yaendelea kuvutana na NSSF

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In