Home BIASHARA Uzinduzi wa duka la Vodacom Masaki

Uzinduzi wa duka la Vodacom Masaki

0 comment 127 views

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom, imezidi kupanua wigo kwa kufikisha huduma kwa wateja wake. Vodacom  imezindua ‘Vodashop’ katika eneo la Masaki, jijini Dar es Salaam.

Sherehe hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom, Linda Riwa  na Devota Kijogoo.

Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom, Linda Riwa (wapili kulia) na Devota Kijogoo (kulia) wakikata utepe kuzindua duka la Vodacom Masaki mapema leo. Kampuni hiyo inaendelea kutanua apatikananji wa huduma zake ili kuhakikisha kwamba wateja wake wanapata huduma bora.

Mkuu wa Bidhaa wa Vodacom, Linda Riwa (wapili kulia) na Devota Kijogoo (kulia) wakifurahia katika hafla ya uzinduzi wa duka la Vodacom Masaki, mapema leo. Kampuni hiyo inaendelea kutanua apatikananji wa huduma zake ili kuhakikisha kwamba wateja wake wanapata huduma bora.

About Us

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905.

Editors' Picks

Newsletter