Home KILIMO Karufuu yashuka kwa asilimia 40

Karufuu yashuka kwa asilimia 40

0 comment 80 views

Uzalishaji wa karafuu Zanzibar umepungua kutoka tani 7,840 mwaka 2021 hadi tani 4,734 kwa mwaka 2022.

Akizungumza katika Bunge la Wawakilishi, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Visiwani humo Shamata Shaame Khamis amesema upungufu huo ni sawa na asilimia 40.

Zao la karafuu ambalo ndio zao kuu Zanzibar linachangia kwa asilimia 22.9 ya pato la Taifa visiwani humo.

About Us

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905.

Editors' Picks

Newsletter